Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar Es salaam
bad1fb3bb28549c1bca93096b7f79e76.jpg
06635e8415c7c5a5aa6c03772e7d32ee.jpg
ab5f25f62658f9b0ecf2c3052ea6dcee.jpg
[/IMG]
 
Oooh but I guess pia facilities
Kikubwa ni usalama tu. Wamehofia atapigwa sindano ya sumu na kumaliziwa.
Tundu lisu kwa kuwa alikuwa akienda kinyume na mambo mengi yanayofanywa na selikali, hivyo basi husadikika kuwa huwenda selikali ikawa inahusika. Sasa ukiipelekea hiyohiyo selikali wanayoishuku wanahofia kumaliziwa kuko huko hospitalini. Ndoo maana kaja nai
 
Kikubwa ni usalama tu. Wamehofia atapigwa sindano ya sumu na kumaliziwa.
Tundu lisu kwa kuwa alikuwa akienda kinyume na mambo mengi yanayofanywa na selikali, hivyo basi husadikika kuwa huwenda selikali ikawa inahusika. Sasa ukiipelekea hiyohiyo selikali wanayoishuku wanahofia kumaliziwa kuko huko hospitalini. Ndoo maana kaja nai
Oh sasa nimeelewa. But I hope he starts a revolution. Opposition
 
Mombasa yangu jamani...magorofa ya 20 floors yanajengwa kibao na mengine yashakamilika,flyovers na interchange nazo vilevile.huko tanga,mwanza,arusha kote jengo refu ni 16 floor. Heheee...msinikumbushe kichapo alichopokea ichoboy kutoka kwa msa.naona sasa dar inashindana na msa
 
Mombasa yangu jamani...magorofa ya 20 floors yanajengwa kibao na mengine yashakamilika,flyovers na interchange nazo vilevile.huko tanga,mwanza,arusha kote jengo refu ni 16 floor. Heheee...msinikumbushe kichapo alichopokea ichoboy kutoka kwa msa.naona sasa dar inashindana na msa
Haha eti floor 20

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Yaaa...hayo ndio tunahesabu.20 floor and above.hayo ya 15 mnayojenga huko arusha yanatia aibu
Arusha Ni pazuri mno lol nimefall in love na ule mji mazingira na culture yake inanibamba sana...towers Ziko Dar n.a. nai mombasa kuna nn sasa zaidi ya bandari

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Arusha Ni pazuri mno lol nimefall in love na ule mji mazingira na culture yake inanibamba sana...towers Ziko Dar n.a. nai mombasa kuna nn sasa zaidi ya bandari

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hehee...hutaki kukubali kuwa kuna 20 floors msa?pengine ulipapeza zamani.huezi fananisha msa na mwanza wala arusha hata kama hatujapata ya 30 floor
 
Baada ya nairobi kupelekwa mswaki sasa naona wakenya wanalazmisha waingize na mombasa angalau wapumue maana hali zao zimekua mbaya baada ya kuona wasichoamini😀😀😀😀 dar of 2017

Sent by usiempenda kaja
dar es salaam vs all towns of kenya.
aibu sana....
 
Mombasa yangu jamani...magorofa ya 20 floors yanajengwa kibao na mengine yashakamilika,flyovers na interchange nazo vilevile.huko tanga,mwanza,arusha kote jengo refu ni 16 floor. Heheee...msinikumbushe kichapo alichopokea ichoboy kutoka kwa msa.naona sasa dar inashindana na msa
so naona leo umeamua kutoa povu na kulia kias hicho nilishawaambia ukubwa wa kariakoo pekee ni sawa na city of mombasa kubali usikubali 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
naona dar imewanyima usingizi wakenya kabisa
hamuamini mnachokiona 😛😛😛😛😛😛
 
Hehee...hutaki kukubali kuwa kuna 20 floors msa?pengine ulipapeza zamani.huezi fananisha msa na mwanza wala arusha hata kama hatujapata ya 30 floor
20fl mombasa ni moja tu na bado inajengwa au pia wataka kutufunga kamba 😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom