kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
hatimaye umeshindwa kuzuia hasira yako....punguza hasira.lamba Afrika Kusini matako Kabisa. mpaka mdomo ijae ma.vi
endelea kutukana ila ujumbe umekufikia sawia.

hatimaye umeshindwa kuzuia hasira yako....punguza hasira.lamba Afrika Kusini matako Kabisa. mpaka mdomo ijae ma.vi

Mlitaman tuwafagile nyie mnanuka vumbi tu mnannlamba Afrika Kusini matako Kabisa. mpaka mdomo ijae ma.vi
Kenya na Tanzania tuko kwenye vita bits kiuchumi wala hakuna jingine. ...
Jambo linaloendelea kwa sasa ni kihakikisha Kenya kwa namna yoyote hatufaidi pekee bila na yeye sisi kumfaidi ndio maana unaona ili fukuto...
Kuhusu mahusiano wala haiwezi kuja kutokea tukawa na matatizo makubwa hapana...sema tu ni mambo ya kawaida
Uliuliza kwa nn tunawapenda sana south Africa Ilo ni swali zuri ,kuna mahusiano yamuda mrefu kuhusu mambo ya uhuru na maswala kadhaa ya namna iyo utagundua hayo kama Ni mfuatiliaji mzuri..
Dar ilikua nyuma miaka ya nyuma apo labda tuzungumzie 2000 Rudi nyuma Ila kwa sasa Dar imeamka na ni mji unaokua kwa kasi sana...tungeendelea kulala nadhani hata mombasa ingetupita kwa mbali kabisa lakini tumeamka na tunatunisha misuli sawasawa...
No kwel nairobi pako na mpangilio mzuri na barabara sihaba mmejitutumua lakini kwa yanayoendelea Dar kwa sasa hatuna uoga wa kukaa meza moja na kuweka battle kama hii. ..tunajiamini na yanayoendelea kwa sasa!!
Past has gone look at what is going on right now!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeliweka vizuri sana hili bwana Kadoda, kwa kifupi ni kwamba udugu wa Tanzania na SA na nchi nyingi za SADC ni udugu wa damu na wa kiitikadi zaidi, ila udugu wa Kenya na Tanzania ni wa kiujirani na maslahi tu, si zaidi ya hapo, kila mmoja anaangalia maslahi yake katika mukhtadha wa kibiashara, sio kusaidiana na kusikilizana.kuna mpuuzi mmoja mkenya amehoji issue ya kijinga ni kwanini tumeelekeza sana focus yetu SA kiasi kwamba hata wanamuziki wetu wa bongofleva wanaenda ku-shoot video zao huko.
ni bahati mbaya sana,lengo la thread hii si kujikita kueleza mahusiano ya kihistoria kati ya tz na nchi nyingine za afrika,vinginevyo tungejaza kurasa kulielezea hilo.
kwa kumuelimisha tu yule mpuuzi mkenya,ni kwamba tanzania ilitumika kuhifadhi wapigania uhuru wa nchi mbalimbali za kusini mwa afrika,ikiwemo south africa.
historia inasema,hata mzee nelson mandela,katika wakati fulani wa vuguvugu la kupigania uhuru wa SA na kuiondoa katika mikono ya makuburu,aliwahi kuishi tanzania eneo la Moshi mkoa wa kilimanjaro, akitumia passport ya tanzania kwa jina bandia la kitanzania.
![]()
![]()
kiufupi tu ni kwamba ukaribu au urafiki wa watz na wa-SA umejengwa katika misingi ya historia ya wazee wetu walioshiriki katika harakati za kupigania uhuru.
ukaribu huo au urafiki huo,umekuwa ukiendelea hivo toka kizazi mpaka kizazi ndio maana ni rahisi sana kwa mtz kwenda kufanya shughuli zake SA kuliko kwenda kufanya shughuli zake Kenya japo ni nchi jirani na tz kwa upande wa kasikazini-mashariki.
Maoni yako ni mazuri!!Nami pia wacha niseme hakuna shida Dar ikiendelea.
Dar, Mwanza, Arusha, Kigoma zikiendelea yamaanisha biashara yaongezeka Afrika Mashariki. Na kinyume pia Nairobi, Mombasa, Kisumu, Nakuru zikiendelea pia yamaanisha maendeleo Afrika Mashariki.
Twafaa kuelewa kukiwa na 'healthy competition' ni miji na watu wa Afrika Mashariki ambao wanafaidika. Ujenzi wa mjengo ulio na urefu wa mita 300 Nairobi inamaanisha Dar itatokea na mjengo wake tu hivi karibuni.
Ujenzi wa reli Kenya pia ni maendeleo. Tanzania haijachukua muda mrefu kuanza ujenzi wa reli. Nataka kuishi kwenye Afrika Mashariki ambayo imeshikanishwa na reli na mabarabara.
Ni sawa tukionyesha picha za maendeleo kwenye nchi zetu lakini tusiwe na mashindano ya umaskini na umaskini.
Ni mwaka wa 2017 hatufai kubaki na ule ujinga wa zamani wa kubishana kwa ajili ya mipaka zilizotengenezwa Ujerumani mwaka wa 1884. Mipaka ambazo hata sisi hatukutengeneza. Vita ya 'ideology' pia nayo yafaa kuisha ujamaa na capitalism zinatumika in some form kwenye nchi zote mbili. Hapo ndio nchi zetu mbili zilianza kubishana, chuki yote ilianzia hapo lakini vita ya communism na capitalism iliisha.
Hahaha so someone just edited the word Kenya akaweka Tanzaniajust for laugh...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kuna baadhi ya watz huongea kingereza kutokana na atmosphere ya eneo, hasa hasa maeneo ya kupata kilevi.Hahaha so someone just edited the word Kenya akaweka Tanzania