Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hapa kazi tu.
9be69f9f99a1e99ad335f40620741187.jpg
 
Kenya na Tanzania tuko kwenye vita bits kiuchumi wala hakuna jingine. ...

Jambo linaloendelea kwa sasa ni kihakikisha Kenya kwa namna yoyote hatufaidi pekee bila na yeye sisi kumfaidi ndio maana unaona ili fukuto...

Kuhusu mahusiano wala haiwezi kuja kutokea tukawa na matatizo makubwa hapana...sema tu ni mambo ya kawaida

Uliuliza kwa nn tunawapenda sana south Africa Ilo ni swali zuri ,kuna mahusiano yamuda mrefu kuhusu mambo ya uhuru na maswala kadhaa ya namna iyo utagundua hayo kama Ni mfuatiliaji mzuri..

Dar ilikua nyuma miaka ya nyuma apo labda tuzungumzie 2000 Rudi nyuma Ila kwa sasa Dar imeamka na ni mji unaokua kwa kasi sana...tungeendelea kulala nadhani hata mombasa ingetupita kwa mbali kabisa lakini tumeamka na tunatunisha misuli sawasawa...

No kwel nairobi pako na mpangilio mzuri na barabara sihaba mmejitutumua lakini kwa yanayoendelea Dar kwa sasa hatuna uoga wa kukaa meza moja na kuweka battle kama hii. ..tunajiamini na yanayoendelea kwa sasa!!

Past has gone look at what is going on right now!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Nami pia wacha niseme hakuna shida Dar ikiendelea.

Dar, Mwanza, Arusha, Kigoma zikiendelea yamaanisha biashara yaongezeka Afrika Mashariki. Na kinyume pia Nairobi, Mombasa, Kisumu, Nakuru zikiendelea pia yamaanisha maendeleo Afrika Mashariki.

Twafaa kuelewa kukiwa na 'healthy competition' ni miji na watu wa Afrika Mashariki ambao wanafaidika. Ujenzi wa mjengo ulio na urefu wa mita 300 Nairobi inamaanisha Dar itatokea na mjengo wake tu hivi karibuni.

Ujenzi wa reli Kenya pia ni maendeleo. Tanzania haijachukua muda mrefu kuanza ujenzi wa reli. Nataka kuishi kwenye Afrika Mashariki ambayo imeshikanishwa na reli na mabarabara.

Ni sawa tukionyesha picha za maendeleo kwenye nchi zetu lakini tusiwe na mashindano ya umaskini na umaskini.

Ni mwaka wa 2017 hatufai kubaki na ule ujinga wa zamani wa kubishana kwa ajili ya mipaka zilizotengenezwa Ujerumani mwaka wa 1884. Mipaka ambazo hata sisi hatukutengeneza. Vita ya 'ideology' pia nayo yafaa kuisha ujamaa na capitalism zinatumika in some form kwenye nchi zote mbili. Hapo ndio nchi zetu mbili zilianza kubishana, chuki yote ilianzia hapo lakini vita ya communism na capitalism iliisha.
 
kuna mpuuzi mmoja mkenya amehoji issue ya kijinga ni kwanini tumeelekeza sana focus yetu SA kiasi kwamba hata wanamuziki wetu wa bongofleva wanaenda ku-shoot video zao huko.

ni bahati mbaya sana,lengo la thread hii si kujikita kueleza mahusiano ya kihistoria kati ya tz na nchi nyingine za afrika,vinginevyo tungejaza kurasa kulielezea hilo.

kwa kumuelimisha tu yule mpuuzi mkenya,ni kwamba tanzania ilitumika kuhifadhi wapigania uhuru wa nchi mbalimbali za kusini mwa afrika,ikiwemo south africa.

historia inasema,hata mzee nelson mandela,katika wakati fulani wa vuguvugu la kupigania uhuru wa SA na kuiondoa katika mikono ya makuburu,aliwahi kuishi tanzania eneo la Moshi mkoa wa kilimanjaro, akitumia passport ya tanzania kwa jina bandia la kitanzania.
3aa2b0ff7b596dadf835d57293b88fbb.jpg
7ac8b786e02cb2c4540dfb7667321953.jpg

kiufupi tu ni kwamba ukaribu au urafiki wa watz na wa-SA umejengwa katika misingi ya historia ya wazee wetu walioshiriki katika harakati za kupigania uhuru.

ukaribu huo au urafiki huo,umekuwa ukiendelea hivo toka kizazi mpaka kizazi ndio maana ni rahisi sana kwa mtz kwenda kufanya shughuli zake SA kuliko kwenda kufanya shughuli zake Kenya japo ni nchi jirani na tz kwa upande wa kasikazini-mashariki.
Umeliweka vizuri sana hili bwana Kadoda, kwa kifupi ni kwamba udugu wa Tanzania na SA na nchi nyingi za SADC ni udugu wa damu na wa kiitikadi zaidi, ila udugu wa Kenya na Tanzania ni wa kiujirani na maslahi tu, si zaidi ya hapo, kila mmoja anaangalia maslahi yake katika mukhtadha wa kibiashara, sio kusaidiana na kusikilizana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami pia wacha niseme hakuna shida Dar ikiendelea.

Dar, Mwanza, Arusha, Kigoma zikiendelea yamaanisha biashara yaongezeka Afrika Mashariki. Na kinyume pia Nairobi, Mombasa, Kisumu, Nakuru zikiendelea pia yamaanisha maendeleo Afrika Mashariki.

Twafaa kuelewa kukiwa na 'healthy competition' ni miji na watu wa Afrika Mashariki ambao wanafaidika. Ujenzi wa mjengo ulio na urefu wa mita 300 Nairobi inamaanisha Dar itatokea na mjengo wake tu hivi karibuni.

Ujenzi wa reli Kenya pia ni maendeleo. Tanzania haijachukua muda mrefu kuanza ujenzi wa reli. Nataka kuishi kwenye Afrika Mashariki ambayo imeshikanishwa na reli na mabarabara.

Ni sawa tukionyesha picha za maendeleo kwenye nchi zetu lakini tusiwe na mashindano ya umaskini na umaskini.

Ni mwaka wa 2017 hatufai kubaki na ule ujinga wa zamani wa kubishana kwa ajili ya mipaka zilizotengenezwa Ujerumani mwaka wa 1884. Mipaka ambazo hata sisi hatukutengeneza. Vita ya 'ideology' pia nayo yafaa kuisha ujamaa na capitalism zinatumika in some form kwenye nchi zote mbili. Hapo ndio nchi zetu mbili zilianza kubishana, chuki yote ilianzia hapo lakini vita ya communism na capitalism iliisha.
Maoni yako ni mazuri!!
Tuendelee na battle braza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha so someone just edited the word Kenya akaweka Tanzania
kuna baadhi ya watz huongea kingereza kutokana na atmosphere ya eneo, hasa hasa maeneo ya kupata kilevi.

huwa nashuhudia mara nyingi, unakuta mtu yupo bar,baada ya kunywa chupa ya tatu ya bia na kuanza kulewa,anaanza kubwawaja broken english mpaka watu mnashangaa.

wengine ni hawa vijana wa kisasa wa sekondari na vyuo vikuu.
wanapozungumza na wapenzi wao kwenye simu,huigiza kuzungumzia kingereza cha hapa na pale.

ila nimegundua kingereza kipo romantic sana kwengu issue ya mapenzi.
 
Westlands is an affluent neighbourhood and administrative division in the city of Nairobi, the capital of and largest city in Kenya.
westie9.jpg
westie8.jpg
westie15.jpg
westie14.jpg
westie13.jpg
westie12.jpg
westie11.jpg
 

Attachments

  • westie10.jpg
    westie10.jpg
    59.6 KB · Views: 33
hapa kazi tu....JPM ananyorosha nchi,watu wanajiuzuru wenyewe bila kushurutishwa na umma.

38d78491e788b898928369d85c4a3202.jpg
 
Back
Top Bottom