Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Still a lot of spaces in Town to erect towers .


dabf05ed75695a8c9ca1ee14c18d1d2e.jpg
 
Sisemi hakuna shida sisemi waKenya huwa hawaongei Sheng. Lakini kama ulienda shuleni kenya pia lazima ukuwe uliandika insha kiasi. Yamaanisha twaweza ongea Kiswahili sanifu lakini wakati mwingi twachagua kuonyesha kimombo yetu. Nami naona ni too much. Sisi ni waafrika. Nadhani waKenya wengi huhusiana Kimombo wakiona ni maendeleo lakini kimombo ni lugha tu kama Kiswahili au Kichina au Zulu.

Kenye nasema ni rahisi nchi zetu mbili ndizo nchi za Kiswahili. Wanaongea Kiswahili pia huko DRC. Lakini tuna lugha moja hatufai kuwa na uhusiano mbaya.

Sitaki Afrika Mashariki iende ile njia ya Conservative Parties duniani. Utapata Conservatives kwenye nchi za kigeni sana sana huchukia nchi jirani kabisa lakini wana fantasise kuhusu nchi zilizo mbali ambazo hawazijui.

e.g.
  • US na Mexico conservatives wa Marekani hawapendi Mexican immigrants
  • Uingereza ndiyo hiyo ilitoka kwenye EU
  • Conservatives wa nchi kama Korea Kusini huchukia waChina lakini husifu Marekani.
  • Nayo pattern inaendelea chama zilizo za far right hata Ulaya kama Front National utapata hawapendi majirani lakini same same thing wana'fantasise' about Russia.

Naona ni muhimu Afrika Mashariki iwache hiyo tabia people will sing praises of other people but none about the countries neighbouring us.
Kenya na Tanzania tuko kwenye vita bits kiuchumi wala hakuna jingine. ...

Jambo linaloendelea kwa sasa ni kihakikisha Kenya kwa namna yoyote hatufaidi pekee bila na yeye sisi kumfaidi ndio maana unaona ili fukuto...

Kuhusu mahusiano wala haiwezi kuja kutokea tukawa na matatizo makubwa hapana...sema tu ni mambo ya kawaida

Uliuliza kwa nn tunawapenda sana south Africa Ilo ni swali zuri ,kuna mahusiano yamuda mrefu kuhusu mambo ya uhuru na maswala kadhaa ya namna iyo utagundua hayo kama Ni mfuatiliaji mzuri..

Dar ilikua nyuma miaka ya nyuma apo labda tuzungumzie 2000 Rudi nyuma Ila kwa sasa Dar imeamka na ni mji unaokua kwa kasi sana...tungeendelea kulala nadhani hata mombasa ingetupita kwa mbali kabisa lakini tumeamka na tunatunisha misuli sawasawa...

No kwel nairobi pako na mpangilio mzuri na barabara sihaba mmejitutumua lakini kwa yanayoendelea Dar kwa sasa hatuna uoga wa kukaa meza moja na kuweka battle kama hii. ..tunajiamini na yanayoendelea kwa sasa!!

Past has gone look at what is going on right now!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Right.
Waswahili husema "kaa nao uwajue".
Hata hawa watz pia naona wako na qualities za hizo points ulizotaja hapo juu. Wao huabudu S.A kama kitu ingine hakuna..... at the sama time they loathe Kenya. So hakuna kipya hapo. Time will tell when they'll start pissing you off
Tanzania na Kenya wanaunganishwa na mambo kama manne, 1)Ujirani 2)Lugha ya Kiswahili, 3)Makabila ya mipakani.

Tanzania na nchi za kusini mwa Africa ikiwemo Africa ya kusini wanahusiana na mambo yote hapo juu ukiondoa Lugha ya kiswahili, zaidi ya hayo mambo yaliyotajwa hapo juu nchi za SADC zinauhusiano wa kiitikadi na mahusiano wa damu, nchi hizi zilipigana bega kwa bega kwa bega, wanasikilizana zaidi miongoni mwao, hakuna mivutano wala mashindano miongoni mwa nchi za SADC.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mpuuzi mmoja mkenya amehoji issue ya kijinga ni kwanini tumeelekeza sana focus yetu SA kiasi kwamba hata wanamuziki wetu wa bongofleva wanaenda ku-shoot video zao huko.

ni bahati mbaya sana,lengo la thread hii si kujikita kueleza mahusiano ya kihistoria kati ya tz na nchi nyingine za afrika,vinginevyo tungejaza kurasa kulielezea hilo.

kwa kumuelimisha tu yule mpuuzi mkenya,ni kwamba tanzania ilitumika kuhifadhi wapigania uhuru wa nchi mbalimbali za kusini mwa afrika,ikiwemo south africa.

historia inasema,hata mzee nelson mandela,katika wakati fulani wa vuguvugu la kupigania uhuru wa SA na kuiondoa katika mikono ya makuburu,aliwahi kuishi tanzania eneo la Moshi mkoa wa kilimanjaro, akitumia passport ya tanzania kwa jina bandia la kitanzania.
3aa2b0ff7b596dadf835d57293b88fbb.jpg
7ac8b786e02cb2c4540dfb7667321953.jpg

kiufupi tu ni kwamba ukaribu au urafiki wa watz na wa-SA umejengwa katika misingi ya historia ya wazee wetu walioshiriki katika harakati za kupigania uhuru.

ukaribu huo au urafiki huo,umekuwa ukiendelea hivo toka kizazi mpaka kizazi ndio maana ni rahisi sana kwa mtz kwenda kufanya shughuli zake SA kuliko kwenda kufanya shughuli zake Kenya japo ni nchi jirani na tz kwa upande wa kasikazini-mashariki.
 
kuna mpuuzi mmoja mkenya amehoji issue ya kijinga ni kwanini tumeelekeza sana focus yetu SA kiasi kwamba hata wanamuziki wetu wa bongofleva wanaenda ku-shoot video zao huko.

ni bahati mbaya sana,lengo la thread hii si kujikita kueleza mahusiano ya kihistoria kati ya tz na nchi nyingine za afrika,vinginevyo tungejaza kurasa kulielezea hilo.

kwa kumuelimisha tu yule mpuuzi mkenya,ni kwamba tanzania ilitumika kuhifadhi wapigania uhuru wa nchi mbalimbali za kusini mwa afrika,ikiwemo south africa.

historia inasema,hata mzee nelson mandela,katika wakati fulani wa vuguvugu la kupigania uhuru wa SA na kuiondoa katika mikono ya makuburu,aliwahi kuishi tanzania eneo la Moshi mkoa wa kilimanjaro, akitumia passport ya tanzania kwa jina bandia la kitanzania.
3aa2b0ff7b596dadf835d57293b88fbb.jpg
7ac8b786e02cb2c4540dfb7667321953.jpg

kiufupi tu ni kwamba ukaribu au urafiki wa watz na wa-SA umejengwa katika misingi ya historia ya wazee wetu walioshiriki katika harakati za kupigania uhuru.

ukaribu huo au urafiki huo,umekuwa ukiendelea hivo toka kizazi mpaka kizazi ndio maana ni rahisi sana kwa mtz kwenda kufanya shughuli zake SA kuliko kwenda kufanya shughuli zake Kenya japo ni nchi jirani na tz kwa upande wa kasikazini-mashariki.
sio kwa povu hilo ndugu
😀😀😀
 
sio kwa povu hilo ndugu
😀😀😀
kisu cha ngariba hakiwezi kumuacha mkenya salama,kinapomuingia mahala pake lazima apige yowe ili kila mtu ajuwe kuwa sasa mkenya anashugulikiwa na mtanzania

0a327185e101aa9c2ead98533e5455ea.jpg
 
kisu cha ngariba hakiwezi kumuacha mkenya salama,kinapomuingia mahala pake lazima apige yowe ili kila mtu ajuwe kuwa sasa mkenya anashugulikiwa na mtanzania

0a327185e101aa9c2ead98533e5455ea.jpg
Ngariba amekukata wewe na kisu chake. umekuja full mipovu na mihemko... duh! chunga usije ukapata blood pressure 😀
 
Ngariba amekukata wewe na kisu chake. umekuja full mipovu na mihemko... duh! chunga usije ukapata blood pressure 😀
kisu cha ngariba hakiwezi kumuacha mkenya salama,kinapomuingia mahala pake lazima apige yowe ili kila mtu ajuwe kuwa sasa mkenya anashugulikiwa na mtanzania

0a327185e101aa9c2ead98533e5455ea.jpg
 
Ngariba amekukata wewe na kisu chake. umekuja full mipovu na mihemko... duh! chunga usije ukapata blood pressure 😀
kuna mpuuzi mmoja mkenya amehoji issue ya kijinga ni kwanini tumeelekeza sana focus yetu SA kiasi kwamba hata wanamuziki wetu wa bongofleva wanaenda ku-shoot video zao huko.

ni bahati mbaya sana,lengo la thread hii si kujikita kueleza mahusiano ya kihistoria kati ya tz na nchi nyingine za afrika,vinginevyo tungejaza kurasa kulielezea hilo.

kwa kumuelimisha tu yule mpuuzi mkenya,ni kwamba tanzania ilitumika kuhifadhi wapigania uhuru wa nchi mbalimbali za kusini mwa afrika,ikiwemo south africa.

historia inasema,hata mzee nelson mandela,katika wakati fulani wa vuguvugu la kupigania uhuru wa SA na kuiondoa katika mikono ya makuburu,aliwahi kuishi tanzania eneo la Moshi mkoa wa kilimanjaro, akitumia passport ya tanzania kwa jina bandia la kitanzania.
3aa2b0ff7b596dadf835d57293b88fbb.jpg
7ac8b786e02cb2c4540dfb7667321953.jpg

kiufupi tu ni kwamba ukaribu au urafiki wa watz na wa-SA umejengwa katika misingi ya historia ya wazee wetu walioshiriki katika harakati za kupigania uhuru.

ukaribu huo au urafiki huo,umekuwa ukiendelea hivo toka kizazi mpaka kizazi ndio maana ni rahisi sana kwa mtz kwenda kufanya shughuli zake SA kuliko kwenda kufanya shughuli zake Kenya japo ni nchi jirani na tz kwa upande wa kasikazini-mashariki.
 
kisu cha ngariba hakiwezi kumuacha mkenya salama,kinapomuingia mahala pake lazima apige yowe ili kila mtu ajuwe kuwa sasa mkenya anashugulikiwa na mtanzania

0a327185e101aa9c2ead98533e5455ea.jpg
sasa utashinda ukijirudia???
heri ata ungepost nyumba za dar is slum zenye zi upatikana remote areas in Kenya 😀
 
sasa utashinda ukijirudia???
heri ata ungepost nyumba za dar is slum zenye zi upatikana remote areas in Kenya 😀
kuna mpuuzi mmoja mkenya amehoji issue ya kijinga ni kwanini tumeelekeza sana focus yetu SA kiasi kwamba hata wanamuziki wetu wa bongofleva wanaenda ku-shoot video zao huko.

ni bahati mbaya sana,lengo la thread hii si kujikita kueleza mahusiano ya kihistoria kati ya tz na nchi nyingine za afrika,vinginevyo tungejaza kurasa kulielezea hilo.

kwa kumuelimisha tu yule mpuuzi mkenya,ni kwamba tanzania ilitumika kuhifadhi wapigania uhuru wa nchi mbalimbali za kusini mwa afrika,ikiwemo south africa.

historia inasema,hata mzee nelson mandela,katika wakati fulani wa vuguvugu la kupigania uhuru wa SA na kuiondoa katika mikono ya makuburu,aliwahi kuishi tanzania eneo la Moshi mkoa wa kilimanjaro, akitumia passport ya tanzania kwa jina bandia la kitanzania.
3aa2b0ff7b596dadf835d57293b88fbb.jpg
7ac8b786e02cb2c4540dfb7667321953.jpg

kiufupi tu ni kwamba ukaribu au urafiki wa watz na wa-SA umejengwa katika misingi ya historia ya wazee wetu walioshiriki katika harakati za kupigania uhuru.

ukaribu huo au urafiki huo,umekuwa ukiendelea hivo toka kizazi mpaka kizazi ndio maana ni rahisi sana kwa mtz kwenda kufanya shughuli zake SA kuliko kwenda kufanya shughuli zake Kenya japo ni nchi jirani na tz kwa upande wa kasikazini-mashariki.
 
kuna mpuuzi mmoja mkenya amehoji issue ya kijinga ni kwanini tumeelekeza sana focus yetu SA kiasi kwamba hata wanamuziki wetu wa bongofleva wanaenda ku-shoot video zao huko.

ni bahati mbaya sana,lengo la thread hii si kujikita kueleza mahusiano ya kihistoria kati ya tz na nchi nyingine za afrika,vinginevyo tungejaza kurasa kulielezea hilo.

kwa kumuelimisha tu yule mpuuzi mkenya,ni kwamba tanzania ilitumika kuhifadhi wapigania uhuru wa nchi mbalimbali za kusini mwa afrika,ikiwemo south africa.

historia inasema,hata mzee nelson mandela,katika wakati fulani wa vuguvugu la kupigania uhuru wa SA na kuiondoa katika mikono ya makuburu,aliwahi kuishi tanzania eneo la Moshi mkoa wa kilimanjaro, akitumia passport ya tanzania kwa jina bandia la kitanzania.
3aa2b0ff7b596dadf835d57293b88fbb.jpg
7ac8b786e02cb2c4540dfb7667321953.jpg

kiufupi tu ni kwamba ukaribu au urafiki wa watz na wa-SA umejengwa katika misingi ya historia ya wazee wetu walioshiriki katika harakati za kupigania uhuru.

ukaribu huo au urafiki huo,umekuwa ukiendelea hivo toka kizazi mpaka kizazi ndio maana ni rahisi sana kwa mtz kwenda kufanya shughuli zake SA kuliko kwenda kufanya shughuli zake Kenya japo ni nchi jirani na tz kwa upande wa kasikazini-mashariki.
lamba Afrika Kusini matako Kabisa. mpaka mdomo ijae ma.vi
 
Back
Top Bottom