Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

watu ni tofauti. wengine wanakua kiakili, na wengine wanakua kimwili

kisu cha ngariba hakiwezi kumuacha mkenya salama,kinapomuingia mahala pake lazima apige yowe ili kila mtu ajuwe kuwa sasa mkenya anashugulikiwa na mtanzania.

0a327185e101aa9c2ead98533e5455ea.jpg
 
Kusema ukweli nchi zetu mbili ni nchi zinazofanana kabisa. Sote twaongea Kiswahili isipokuwa kuna tofauti venye wakenya au watanzania hutamka maneno mengine. Hata tukiangalia kwenye DNA watu wetu ni watu ambao wanafanana.

Ndio Kenya inauchumi kubwa kiasi kuliko Tanzania lakini nchi zote mbili ni maskini ukipimanisha na nchi zingine duniani.
 
Kusema ukweli nchi zetu mbili ni nchi zinazofanana kabisa. Sote twaongea Kiswahili isipokuwa kuna tofauti venye wakenya au watanzania hutamka maneno mengine. Hata tukiangalia kwenye DNA watu wetu ni watu ambao wanafanana.

Ndio Kenya inauchumi kubwa kiasi kuliko Tanzania lakini nchi zote mbili ni maskini ukipimanisha na nchi zingine duniani.
hakuna kitu kama hio. waKenya huongea Sheng'.... only that kwa hii forum huwa tunajaribu kuwa moderate kiasi ndio lugha zisigongane.
halafu jua kwamba waKenya ni wachapa kazi balaa, usifananishe waKenya na wapaka wanja na poda.
pitia hapa ujue zaidi>> Comparison between Kenya and Tanzania (Tofauti kati ya Kenya na Tanzania)
 
hakuna kitu kama hio. waKenya huongea Sheng'.... only that kwa hii forum huwa tunajaribu kuwa moderate kiasi ndio lugha zisigongane.
halafu jua kwamba waKenya ni wachapa kazi balaa, usifananishe waKenya na wapaka wanja na poda.
pitia hapa ujue zaidi>> Comparison between Kenya and Tanzania (Tofauti kati ya Kenya na Tanzania)

Sisemi hakuna shida sisemi waKenya huwa hawaongei Sheng. Lakini kama ulienda shuleni kenya pia lazima ukuwe uliandika insha kiasi. Yamaanisha twaweza ongea Kiswahili sanifu lakini wakati mwingi twachagua kuonyesha kimombo yetu. Nami naona ni too much. Sisi ni waafrika. Nadhani waKenya wengi huhusiana Kimombo wakiona ni maendeleo lakini kimombo ni lugha tu kama Kiswahili au Kichina au Zulu.

Kenye nasema ni rahisi nchi zetu mbili ndizo nchi za Kiswahili. Wanaongea Kiswahili pia huko DRC. Lakini tuna lugha moja hatufai kuwa na uhusiano mbaya.

Sitaki Afrika Mashariki iende ile njia ya Conservative Parties duniani. Utapata Conservatives kwenye nchi za kigeni sana sana huchukia nchi jirani kabisa lakini wana fantasise kuhusu nchi zilizo mbali ambazo hawazijui.

e.g.
  • US na Mexico conservatives wa Marekani hawapendi Mexican immigrants
  • Uingereza ndiyo hiyo ilitoka kwenye EU
  • Conservatives wa nchi kama Korea Kusini huchukia waChina lakini husifu Marekani.
  • Nayo pattern inaendelea chama zilizo za far right hata Ulaya kama Front National utapata hawapendi majirani lakini same same thing wana'fantasise' about Russia.

Naona ni muhimu Afrika Mashariki iwache hiyo tabia people will sing praises of other people but none about the countries neighbouring us.
 
Sisemi hakuna shida sisemi waKenya huwa hawaongei Sheng. Lakini kama ulienda shuleni kenya pia lazima ukuwe uliandika insha kiasi. Yamaanisha twaweza ongea Kiswahili sanifu lakini wakati mwingi twachagua kuonyesha kimombo yetu. Nami naona ni too much. Sisi ni waafrika. Nadhani waKenya wengi huhusiana Kimombo na maendeleo lakini kimombo ni lugha tu kama Kiswahili au Kichina au Zulu.

Kenye nasema ni rahisi nchi zetu mbili ndizo nchi za Kiswahili. Wanaongea Kiswahili pia huko DRC. Lakini tuna lugha moja hatufai kuwa na uhusiano mbaya.

Sitaki Afrika Mashariki iende ile njia ya Conservative Parties duniani. Utapata Conservatives kwenye nchi za kigeni sana sana huchukia nchi jirani kabisa lakini wana fantasise kuhusu nchi zilizo mbali ambazo hawazijui.

e.g.
  • US na Mexico conservatives wa Marekani hawapendi Mexican immigrants
  • Uingereza ndiyo hiyo ilitoka kwenye EU
  • Conservatives wa nchi kama Korea Kusini huchukia waChina lakini husifu Marekani.
  • Nayo pattern inaendelea chama zilizo za far right hata Ulaya kama Front National utapata hawapendi majirani lakini same same thing wana'fantasise' about Russia.

Naona ni muhimu Afrika Mashariki iwache hiyo tabia people will sing praises of other people but none about the countries neighbouring us.
nimekelewa Sana , Ila nadhani wajinga Tu ndiyo hawatakuelewa.
 
Sisemi hakuna shida sisemi waKenya huwa hawaongei Sheng. Lakini kama ulienda shuleni kenya pia lazima ukuwe uliandika insha kiasi. Yamaanisha twaweza ongea Kiswahili sanifu lakini wakati mwingi twachagua kuonyesha kimombo yetu. Nami naona ni too much. Sisi ni waafrika. Nadhani waKenya wengi huhusiana Kimombo na maendeleo lakini kimombo ni lugha tu kama Kiswahili au Kichina au Zulu.

Kenye nasema ni rahisi nchi zetu mbili ndizo nchi za Kiswahili. Wanaongea Kiswahili pia huko DRC. Lakini tuna lugha moja hatufai kuwa na uhusiano mbaya.

Sitaki Afrika Mashariki iende ile njia ya Conservative Parties duniani. Utapata Conservatives kwenye nchi za kigeni sana sana huchukia nchi jirani kabisa lakini wana fantasise kuhusu nchi zilizo mbali ambazo hawazijui.

e.g.
  • US na Mexico conservatives wa Marekani hawapendi Mexican immigrants
  • Uingereza ndiyo hiyo ilitoka kwenye EU
  • Conservatives wa nchi kama Korea Kusini huchukia waChina lakini husifu Marekani.
  • Nayo pattern inaendelea chama zilizo za far right hata Ulaya kama Front National utapata hawapendi majirani lakini same same thing wana'fantasise' about Russia.

Naona ni muhimu Afrika Mashariki iwache hiyo tabia people will sing praises of other people but none about the countries neighbouring us.

Right.
Waswahili husema "kaa nao uwajue".
Hata hawa watz pia naona wako na qualities za hizo points ulizotaja hapo juu. Wao huabudu S.A kama kitu ingine hakuna..... at the sama time they loathe Kenya. So hakuna kipya hapo. Time will tell when they'll start pissing you off
 
Right.
Waswahili husema "kaa nao uwajue".
Hata hawa watz pia naona wako na qualities za hizo points ulizotaja hapo juu. Wao huabudu S.A kama kitu ingine hakuna..... at the sama time they loathe Kenya. So hakuna kipya hapo. Time will tell when they'll start pissing you off


hahaha afadhali washoot video kwa slum ya south Africa ndio ionekane amevuka boda. ....hata tune ya national anthem zao zinafanana
 
Back
Top Bottom