Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hvi wadau izi camp wakimaliza ujenzi zinageuzwa shule nn

View attachment 2234442
Hii ni wapi? Huwa zinakuwa shule,Ofisi,vyuo nk..

Mfano Camp za Barabara ya Tunduma-Sumbawanga zimegeuzwa matawi ya vyuo vya DIT na MUST..

Pia Kuna Camp ya Barabara ya Sumbawanga-Mpanda imegeuzwa ofisi za Tanroads mkoa wa Rukwa ,Camp ya Barabara ya Mpemba/Tunduma-Isongole imegeuzwa VETA Wilaya ya Ileje.nk
 
Tarura inazidi kufungua Nchi..

Kenya hapa ni Mafinga👇

Screenshot_20220522-164714.png
 
Bro mimi sio muislamu ..na najua unahaki ya kutoa maoni yako..lakini i think Dini isihusike ..Personality ya mtu haihusiani na Dini
Dini gani imetumika hapo ....mimi nashangaa kwenye uislamu hakuna kabisa mambo ya kiumbe kusujudia kiumbe hivyo nilivyo sema waislamu nina maana kubwa kwa sababu ukweli umethibitika kuwa viongozi wetu wa ngazi za juu wanao jidai waislamu wanasujudi mabeberu sana huo ni ukweli ambao hata waislamu wameujua ,wazalendo wote wa hii nchi siyo waislamu huo ndiyo ukweli kuna tofauti baina ya uislamu na waislamu ...uislamu hauna tatizo.
 
Bro mimi sio muislamu ..na najua unahaki ya kutoa maoni yako..lakini i think Dini isihusike ..Personality ya mtu haihusiani na Dini
Pia jua kuwa dini ni uislamu hivyo dini haina tatizo ...
Kunatofauti kati ya UISLAMU NA MUISLAMU tatizo lipo kwa muislamu siyo uislamu
 
Dini gani imetumika hapo ....mimi nashangaa kwenye uislamu hakuna kabisa mambo ya kiumbe kusujudia kiumbe hivyo nilivyo sema waislamu nina maana kubwa kwa sababu ukweli umethibitika kuwa viongozi wetu wa ngazi za juu wanao jidai waislamu wanasujudi mabeberu sana huo ni ukweli ambao hata waislamu wameujua ,wazalendo wote wa hii nchi siyo waislamu huo ndiyo ukweli kuna tofauti baina ya uislamu na waislamu ...uislamu hauna tatizo.
Mkuu wacha haya mambo ya dini yatatugawa, mm ni mkristo lkn much appreciation to Muslims naikubali sn hii dini, iko perfect na wala haina tatizo na mtu isipokuwa ni kweli viongozi l(ma Rais) wa kiislamu kuna sehemu huwa wanatuangusha, cjajua ni kwnn ila tuachane na habari za udini hauna faida yoyote. Udini, ukabila tuwaachie wakunya.
 
Hii ni wapi? Huwa zinakuwa shule,Ofisi,vyuo nk..

Mfano Camp za Barabara ya Tunduma-Sumbawanga zimeheuzwa matawi ya DIT na MUST..

Pia Kuna Camp ya Barabara ya Sumbawanga-Mpanda imegeuzwa ofisi za Tanroads mkoa wa Rukwa ,Camo ya Barabara ya Mpemba/Tunduma-Isongole imegeuzwa VETA Wilaya ya Ileje.nk
Iyo moja ya kambi ya sgr lot 5 "malampaka"
 
Mkuu wacha haya mambo ya dini yatatugawa, mm ni mkristo lkn much appreciation to Muslims naikubali sn hii dini, iko perfect na wala haina tatizo na mtu isipokuwa ni kweli viongozi l(ma Rais) wa kiislamu kuna sehemu huwa wanatuangusha, cjajua ni kwnn ila tuachane na habari za udini hauna faida yoyote. Udini, ukabila tuwaachie wakunya.
Tukisema hii kitu inatibu mm baba ni muislamu mama ni mkristo mm mwenyewe sipo kwenye dini yoyote ila ukweli usemwe utatuweka huru ...uislamu hauna tatizo lolote, kwenye ili la kusujudia mabeberu maana unapinga huo upuuzi tatizo lipo kwa wanao jidai uislamu kumbe wengi wao ni waisiharamu wapo kuuchafua uislamu na haya yameandikwa kwenye vitabu vya dini ...watu waovu wanao jivisha koti la uislamu huku kwa ndani ni wanafiki ,wauza ngada , wabinafsi na kila sifa mbovu , hata katika ukristo tunaona kila mtu mwenye wafuasi anajiita mtume na nabii ....ukiwauliza kuhusu utume wao wanasema mtume ni kutumwa na mungu sasa swali je mungu alipo watuma nzige misri kualibu mazao hao nzige walikuwa ni mitume
MIMI MWENYEWE NAUHESHIMU SANA UISLAMU TENA UNAMAFUNDISHO YA KIZALENDO KAMILI NA NAUHESHIMU SANA UKRISTO, TATIZO LIPO KWA WAISLAMU NA WAKRISTO
 
Back
Top Bottom