Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sections of Upper Hill. Ground level

2020-03-21.jpg


2019-12-15 (2).jpg


2019-10-30 (1).jpg


2020-08-30.jpg


kuscco building.jpg


2020-02-25.jpg


2017-04-06.jpg


2019-10-30 (1).jpg
 
CCM imezoea kuwafeed propaganda hadi huwezi tumia akili yako kutofautisha hizo picha.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda hatujaelewana, mimi ninazungumzia ujenzi wa km 350 za barabara kwa kiwango cha lami Tabora njia ya kuelekea mkoa wa Katavi.

Nilichokuwa ninakushangaa ni wewe kuona kwamba siyo kweli wakati aliyeizindua ni mama tena jana,sasa CCM inatokea wapi ndg? Au unamaanisha nini ulivyosema CCM inatudanganya!??
 
Ni kapuuzi aka katoto kanadhani sisi huwa tunapika data kama wao.
hahaha😆 .. mbona hapa ni maharashtra, india sana mzee. niliwaambia bongo nyinyi hamuna road signature za nguvu, mkaleta ubishi

Screenshot_20220519-132503_Chrome.jpg





nilimwabia gezaulole alete ata moja ka hizi za Ahero-kisii junction, ali gwaya na kisha kucheza chini ya waba
20220428_121836.jpg
20220428_121452.jpg
Screenshot_20220518-113623_Chrome.jpg
 
Kwahiyo Rais alivyokwenda kuzindua hii barabara alidanganya au alivyafanya hivyo ili tuziweke humu ndani kwa ajili ya battle.

Nyinyi Tanzania hamuijui vizuri. Eti haiwezi patikana anywhere in that Tabora village. Muwe mnafuatilia hata matukio kwa tv, alikuwa live juzi. Dogo acha kujiaibisha unabisha vitu usivyovijua.
Hao wapuuzi maendeleo yote wameelekeza nairobi,so wa usishangae akibisha barabara kama hiyo kuwepo tabora more than 500 km kutokea dar
 
Tafadhali #Tuusan...naomba uangalie uniambie hawa jamaa wanakitu gani hasa cha hata kuitikisa Dar, mana kuna kipindi uliwamini mnooo, cha kunifraisha huu mji ndio uko na GDP kubwaa kuliko DISSIM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]my ribs
Kwani gdp manayake nn?...
 
Back
Top Bottom