LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
Bernard Mwarome. Ako Bayern youth side. He is Kenyan. So wivu mtaacha
kabla ya kuchezea ughaibuni je alishawah kuchezea national team?Naah he plays for Harambee stars. Plus amecheza Denmark, China na sasa Spain
Yep. Akiwa Kenya alikuwa anaichezea timu ya Taifa.
team yataifa ......team A au BYep. Akiwa Kenya alikuwa anaichezea timu ya Taifa.
Team A man, he has been our leading striker for a while now
na bayern alikuwa anachezeaTeam A man, he has been our leading striker for a while now
ako youth system yao. Sidhani amepata call up ya national team ya kenya
ameanza kucheza team ya taifa mwaka gani?ako youth system yao. Sidhani amepata call up ya national team ya kenya
Kwa sports tuacheni tu,hatuna mpinzani E.Ahiyo ndiyo kazi mnayoiweza kuzamia nchi za watu.....na kuomba uraia....
poor kenyan...yaan huyo hata historia yake utakuta hsjawai kuwa team ya taifa![]()
![]()
ni mzamiaji kwasababu ya shida
Sent using Jamii Forums mobile app
hamna kitu ..kwenye kukimbia sawa..sababu tumewaachia uwanja mlande lande kwani tukisema tuwabanie mtakufa njaaKwa sports tuacheni tu,hatuna mpinzani E.A
Tatu City becoming a serious business hub
Africa Logistics Properties leases out first warehouse in Tatu city
![]()

Huwezi chukua mda ukasoma link? Ama ni mazoea ya kupayuka tu??render...tembo mkubwa mweupe.
![]()
![]()
![]()
hakuna kipya kilichoandikwa zaidi ya "will and shall"....ndio maana nimeona ni upuuzi kusoma habari nzima.Huwezi chukua mda ukasoma link? Ama ni mazoea ya kupayuka tu??

Nimesema ako youthh system. Still a kid. Wach atuone call up