Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Anaweka picha za Nairobi akiclaim ni za Arusha😂😂🤣
Nimesema Nairobi wana showroom tu lakini kila kitu ni Tanzania

Screenshot_20220501-143748.png
 
Ulivyo mpumbavu ukaona uweke picha ya ndege zilizosababishiwa delay kutokana na airport yenu chakavu kufungwa kutokana na matengenezo ya kila siku. Wakunya mnapenda sifa za kipuuzi na kujipiga kifua kwa kitu ambacho hamna wasenge nyie.


Find similar images using
View attachment 2207328View attachment 2207329View attachment 2207331View attachment 2207332
Soja wewe unajua hata military drive ni nini?😂😂😂
 
Sikujua una ushamba mwingi...Go and google standard international aiport..Plus how does altitude affect runway distance ..we ni mshamba sana jielimishe uje tu discuss

Plus kama A380 na 747 zinatua what is airforce ambayo ni 747

on other note ishwai kutua Dar zaidi ya once
Halafu ni engenere!

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Hapo next to RSA. Logo ya Man Trucks inaonekana vizuri in blue. chongchung Ni lini uliona makao ya MAN TRUCKS hapo Arusha?
Hehehe jamaa anataku kuforce hiyo kampuni to be in Tanzania 😂😂. But hiyo ni tabia yao, Kuna siku soja pia aliiba assembly plant ya Scania based in SA na kuclaim ati iko Tz 😂🤣
 
Eric Omondi na Harmonize wamepigana hapa Kenya. Harmonize ametiwa mbaroni.
 
Back
Top Bottom