Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Onyesha hiyo logo hapo kwenye Hilo bus, Mimi sioni, zungushia duara au onyesha kwa mshale

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Look for an optician.

images (75).jpeg


20220501_003546~3.jpg
 
Kama kawaida yenu
1)BRT buses za Tanzania zilitengenezwa Kenya
2)Kiswahili kilianzia Kenya
3)Mlima Kilimanjaro ulikua Kenya
4)Magufuli alifia Kenya
5)Obama ni Mkenya
6)The Best (chinese class 1) SGR is in Kenya
7)Kenya is the most diversified and resilient Economy in Africa
8)Tanzanian buses are assembled in Kenya


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sasa unapinga nini wewe?

Sauli was assembled in Kenya by AVA
Simba was assembled in Kenya by Master.
Confirmation from Scania.

20220430_233852.jpg


20220501_003546~3.jpg


Screenshot_20220501-101724.png
 
Usiongee matope. Unadhani Kenya hatuna architect anayeweza kudesign skyscraper kama hio? Wewe bado una umri mdogo nakuelewa. Nikupe habari tu kwamba architect aliyedesign Pssf tower yenu ni Mkenya. Pia bunge lenu la sasa limechorwa na architect Mkenya.
Hamna taja engineering company moja iliyojenga 30+ floors! BTW architecture and engineering r 2 different things! Mention one kenyan engineering company! Hata highway zenyu ni foreign companies!
 
Sikujua una ushamba mwingi...Go and google standard international aiport..Plus how does altitude affect runway distance ..we ni mshamba sana jielimishe uje tu discuss

Plus kama A380 na 747 zinatua what is airforce ambayo ni 747

on other note ishwai kutua Dar zaidi ya once
Physics haipo kwa DNA ya wakunya huko unapata UJINGA! Mwambie hata KIA na Songwe ina runway ndefu pia kama JKIA!
 
Hamna taja mmoja aliyejenga 30+ floors!
James Kimathi alidesign pssf tower yenu ambayo ni 35 floors. Funga domo lako!



Projects

The winner by design, Architect James Kimathi has also done several other great projects besides parliamentary buildings, with most of his projects passing as winning entries in architectural competitions. Some of which are briefly discussed below:-

  • 1st Prize in Tanzania Bunge Design Competition
  • 1st Prize Kenya Debating Chamber
  • 1st prize in Kilimanjaro Towers a twin tower complex to be erected at Upper hill
  • 1st prize for the Ultra modern shopping mall in Mwanza (Tanzania)
  • 1st prize for a 35 storey office complex under construction in Dar es Salaam.
  • Design Competition, 1st Premium Award for Bomas of Kenya
  • Design Award for East African Community Headquarters in Arusha and 2nd
  • Prize for Pan African Postal Union House Competition in Arusha
Kasome zaidi hapa 👇👇


Cc Sama boy 255 coodip1 chongchung
 
Hamna taja mmoja aliyejenga 30+ floors! BTW architecture and engineering r 2 different things! Mention one kenyan engineering company! Hata highway zenyu ni foreign companies!
We have Nyoro Construction Company. Sisi hatujigambi na makampuni za wahindi. In Tanzania all the construction companies are owned by Indians 🤣🤣😂
 
James Kimathi alidesign pssf tower yenu ambayo ni 35 floors. Funga domo lako!



Projects

The winner by design, Architect James Kimathi has also done several other great projects besides parliamentary buildings, with most of his projects passing as winning entries in architectural competitions. Some of which are briefly discussed below:-

  • 1st Prize in Tanzania Bunge Design Competition
  • 1st Prize Kenya Debating Chamber
  • 1st prize in Kilimanjaro Towers a twin tower complex to be erected at Upper hill
  • 1st prize for the Ultra modern shopping mall in Mwanza (Tanzania)
  • 1st prize for a 35 storey office complex under construction in Dar es Salaam.
  • Design Competition, 1st Premium Award for Bomas of Kenya
  • Design Award for East African Community Headquarters in Arusha and 2nd
  • Prize for Pan African Postal Union House Competition in Arusha
Kasome zaidi hapa 👇👇


Cc Sama boy 255 coodip1 chongchung
Is that engineering company?
 
Hamna taja engineering company moja iliyojenga 30+ floors! BTW architecture and engineering r 2 different things! Mention one kenyan engineering company! Hata highway zenyu ni foreign companies!
ata uscheze mbali.. mimi mkunya wa hapahapa JF tosha
20220305_132927.jpg
20220309_005121.jpg
 
Back
Top Bottom