Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwasababu huna akili na shuleni kwenu zaidi Somo mnalolipenda ni "Tribalism".

Nilikuuliza Kati ya hizo reports mbili, mojabinasema umasikini Kenya ni 42% na Tanzania ni 26% na hiyo report inayozungumzia 28M, wewe unachukua ipi?,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe uliyeenda shule ulifundishwa kwamba 26% of 60 million is 28 million? Is that your point bongolala?
 
inanibamba sana venye haiwezi miss target.! yani Bull's Eye precision hadi sunroof slot ndani.!💣💥
Hahaha ilikuwa ni bahati tu hio bomb iliingia hadi ndani ya gari. Huyo drone operator anunuliwe soda na mkate. Halafu ukicheki huyo driver ndani gari utaona anashake juu anakufa. Watu wakikufa kuna venye huwa wanashake. Hio video ina details nyingi. Nataka Russian pests wamalizwe for invading a sovereign country.
 
Hahaha ilikuwa ni bahati tu hio bomb iliingia hadi ndani ya gari. Huyo drone operator anunuliwe soda na mkate. Halafu ukicheki huyo driver ndani gari utaona anashake juu anakufa. Watu wakikufa kuna venye huwa wanashake. Hio video ina details nyingi. Nataka Russian pests wamalizwe for invading a sovereign country.
sidhani kuna mambo na bahati hapa.. this pple sure wht they are doing. think the bomb is somehow guided by a remote control🤔
 
Wakunya washamba sn, huyu jamaa kwa mdomo wake ulivyo mpana kama angelikuwa na ka kazi japo ya kuzugia kusingekalika humu, we ngoja kapate degree alafu mtaona humu
😂😂😂😂 Kwenye kuvaa sasa! Hapo mwenyewe anajiona kavunja kabati, mpaka kazipost maana yake ndio top notch mtoko 🤣 casual sijui atafananaje yarabbi
 
hivi Teargas ame wa hit💥 na facts tupu, naona amekua kero kwenu leo kiasi cha haja.! isivumulike.. hivi mkaona heri kutafuta vijisababu vya peni mbili kushusha makali💥💥 .. na hakuna siku.! Teargas atazidi kuwaponda kilakuchao na facts tupu.!

nb: infact teargas looks so smart, tall dark and handsome.!😍
Handsome kuliko hawa? 🤔

vKVidos4_400x400.jpg


Screenshot_20220501-122214.png
 
hivi Teargas ame wa hit💥 na facts tupu, naona amekua kero kwenu leo kiasi cha haja.! isivumulike.. hivi mkaona heri kutafuta vijisababu vya peni mbili kushusha makali💥💥 .. na hakuna siku.! Teargas atazidi kuwaponda kilakuchao na facts tupu.!

nb: infact teargas looks so smart, tall dark and handsome.!😍
Mtanzania anaogopa ukweli. Kwanza huyo soja ni mtu mwingine wa ajabu sana, juzi nilimwekea payslip yangu akaanza kusema sijui natumia wifi ya shule 🤣😂😂
 
hivi Teargas ame wa hit na facts tupu, naona amekua kero kwenu leo kiasi cha haja.! isivumulike.. hivi mkaona heri kutafuta vijisababu vya peni mbili kushusha makali .. na hakuna siku.! Teargas atazidi kuwaponda kilakuchao na facts tupu.!

nb: infact teargas looks so smart, tall dark and handsome.!
Hakuna na hatotokea mkenya handsome mpk Dunia inakwisha
 
Back
Top Bottom