Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alfu mm nashangaa Kila nchi ina priorities zake ..Tz imeamua kujenga Flyover 2017 ..sio kwamba ilishindwa miaka ya zaman..bali haikuwa priority miaka hiyo ...
Ni kama nyie mnavyohisi Kupata jengo refu its an issue ..yes for beautification its an issue ..but cio Kwamba Tz inashndwa Kujenga 70flr kama pinnacle ..the issue is just we dont need it and its not a priority ..a country should rather have a hospital or those developers should think of building a school,a hospital .public transit ,an energy station for both rich n poor to benefit rather thn a certain class..remind you PSPF ni twin *35 ..na kabla ya hapo walitaka wajenge one tower ya 70flr..wakabadilisha plans .so as to save money to other public projects ..kama kujenga kiwanda cha sukari ..so its just priorities za nchi ..
Mbona europe hamna jengo la zaidi ya 310m ..does tht make european countries poor ?

By the ....Kenya ni kweli mmeshndwa kujenga daraja kule mombasa ..au the country imeset tu priorities ijenge southern by pass kwanza Nairobi?..i think no its just decision za Government ya Kenya zimekaa kibepari zaidi na kubenefit watu wa class ya juu zaid kuliko ya chini
Mombasa southern bypass is under construction. It will contain two bridges, Mwache and Mteza.
 
08-57-15-kqPm7EX.jpg
08-57-15-kqPm7EX.jpg
 
The pinnacle,tallest in Africa,now under construction
36376953450_ce0a753a17_o.jpg


35939420044_e786a5875f_o.jpg


__________________
Neighboring the pinnacle is another cluster of 3 super skyscrapers,THE MONTAVE,now under excavation

Excavations are underway.
IMG_0090.jpg


IMG_0093.jpg


28700285681_a6bfd15103_b.jpg


28777242135_8d2df1f0c6_b.jpg


28159838494_b06d3196ef_b.jpg


28777172965_4e0de844ac_b.jpg


__________________
28745765106_271c80caaf_b.jpg
 
Alfu mm nashangaa Kila nchi ina priorities zake ..Tz imeamua kujenga Flyover 2017 ..sio kwamba ilishindwa miaka ya zaman..bali haikuwa priority miaka hiyo ...
Ni kama nyie mnavyohisi Kupata jengo refu its an issue ..yes for beautification its an issue ..but cio Kwamba Tz inashndwa Kujenga 70flr kama pinnacle ..the issue is just we dont need it and its not a priority ..a country should rather have a hospital or those developers should think of building a school,a hospital .public transit ,an energy station for both rich n poor to benefit rather thn a certain class..remind you PSPF ni twin *35 ..na kabla ya hapo walitaka wajenge one tower ya 70flr..wakabadilisha plans .so as to save money to other public projects ..kama kujenga kiwanda cha sukari ..so its just priorities za nchi ..
Mbona europe hamna jengo la zaidi ya 310m ..does tht make european countries poor ?

By the ....Kenya ni kweli mmeshndwa kujenga daraja kule mombasa ..au the country imeset tu priorities ijenge southern by pass kwanza Nairobi?..i think no its just decision za Government ya Kenya zimekaa kibepari zaidi na kubenefit watu wa class ya juu zaid kuliko ya chini
hafu wasijutishe hao kwa upande wa fly over wakenya hazizidi mbili vingine vyote ni viinterchange juu wamepitisha vidaraja vipisi vya hatua kumi hafu wanaviita flyove

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dar siku itapata planned estates warudi hapa ndio waongee tukitaka aerial view za estates watanzania hukasirika sana juu machangudoa ndio zimejaza entire city. ...Hahaha.
hakuna anayekasirika hivyo vitu vipo......hatuna shida ya mapicha ya hostel zenu huku kila mtu ananyumba yake ya kisasa zenye viwango....na ukija kwenye mtindo wa nyumba mfumo wa hostel pia zipo kila siku zinajengwa na miradi inaendelea hivyo sisi siyo level yenu mpo nyuma sana ....sisi tunajenga kwa kidouble kwa upande wa makazi nyie mmeganda na hostel tu tena zilizo chakavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom