Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wafukuzeni kama ni Watanzania.

Ila kama bado wapo hapo ujue ni wakunya wenzako.

Yaani hata haupo proud na simu yako ndo maana ukahariri comment yako kuondoa maneno ya infinix x657.
Tukishawafukuza mtapata wapi remittance? Are you aware that 80% if Tanzanian remittance come from people begging in other country's streets?🤣😂😂
 
Tukishawafukuza mtapata wapi remittance? Are you aware that 80% if Tanzanian remittance come from people begging in other country's streets?
Wewe tulia fukara wa kutupwa, simu yako hii hapa ina Ram 2gb
1650008617698.jpg
 
Wafukuzeni kama ni Watanzania.

Ila kama bado wapo hapo ujue ni wakunya wenzako.

Yaani hata haupo proud na simu yako ndo maana ukahariri comment yako kuondoa maneno ya infinix x657.
Na I bet hii ndiyo simu yake kali kuwahi kununua, ina 2gb Ram, huyu jamaa kwa mdomo wake ulivyo anaonekana ni fukara sana mm nawaambia, ona simu yake bora kabisa kuwahi kuwa nayo tena huenda kanunua kwa mtu au kaachiwa atumie, 2gb Ram
1650008611511.jpg
 
So nini, kama unajiamini na simu yako ya infinix yenye 2gb Ram kwnn umefuta maelezo hapo chini
Why can't you screenshot penye nimefuta and then prove me wrong. You are very desperate young man 😂😂
 
Back
Top Bottom