Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Who believe in blogs? Data za 2022 zitatokaje na 2022 enyewe hata haifika nusu? Wewe ndio huna akili.
Kwasababu haija mention Kenya, huu ndiyo ukweli yn hakuna airport hapa EA iko busy kuliko hizi mbili za Dar na Zanzibar hata wewe mwenyewe unalijua hilo

 
Huyo huwa anaumizwa sn na maendeleo ya Tz, huyo ni miongoni mwa wakunya waliokuwa wanakesha wikipedia kuichafua Tanzania ila kwa sasa wabongo nao wameanza kuichafua Kenya ktk kila angle na ndiyo maana wanaumia. Wana roho mbaya sana hawa mbwa.
Which development do you have in Tz?

IMG_20210712_220639.jpg
 
Hii yao imepita desperation, this one is foolishness.
Yaani hiyo Zanzibar na airport zao karibia zote ukitoa KQ na Jambo jet, airport zinakua white Elephant.., angalia flight board yao uone list ya ndege zinazo tua na kupaa.., poor country, it will take Tanzanians centuries to even start flying domestically kwa wingi.., ni tourists na foreigners and few moneyed Tanzanians, wengine wanaona ndege kule juu kwa hewa, Tanzania ni nchi fukara fundamentally😂😂😂
 
Hivi wewe Don kwa akili zako kabisa unadhani kuna airport hapa EA inaweza kushindana na JNIA au Zanzibar international airport?
Those are dwarfs, wacha shabiki The best 007 wakati mwingine.., it is too obvious.., checkout flight data ya hizo airport zenu ya hii wiki pekee kisha linganisha na JKIA.., yani JKIA ina combine zote na change inabakia.., kindly check kisha uje hapa utupe habari, usiogope kaka hautapigwa na mtu..,
 
Those are dwarfs, wacha shabiki The best 007 wakati mwingine.., it is too obvious.., checkout flight data ya hizo airport zenu ya hii wiki pekee kisha linganisha na JKIA.., yani JKIA ina combine zote na change inabakia.., kindly check kisha uje hapa utupe habari, usiogope kaka hautapigwa na mtu..,
Ndio hizi hapa data za mwaka huu na tegemea maumivu zaidi

 
2021 mlipeleka abiria wapi wkt mlijifungia tangu 2020
Do you really understand your question?😂😂😂 Tulikuwa lockdown in 2020 and not 2021. Our airspace was open in 2021. Na hata hiyo 2020 bado airports zetu zilihandle more passengers compared to za Tz even hata kama Tulikuwa lockdown.
 
Ndio hizi hapa data za mwaka huu na tegemea maumivu zaidi

Hiyo sio flight board hiyo ni blog.., ama unahitaji usaidizi? nikileta utasema nimepika data, flight data ya JNIA iko wazi, weka hapa screenshot ya leo tu basi, nikiweka utasema nimepika data, sitaki lawama, nataka ujionee mwenyewe uhadithie wenzako kama vile baba levo😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom