Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Understand them, that's 1% on function mode.Reasoning thrown out of the window I tell you
Understand them, that's 1% on function mode.Reasoning thrown out of the window I tell you
Truth hurtsBwana mapesa arguments . We jamaa unaweza kufanya stand up comedy . I saw your talent . Please take action join Churchill show
Your comedian Mr . Eti ndege moja ipate faida kuliko 10+ ndege , wakati ndege yenu ilikua inaenda USA haina abiria haaaaaaaa. Nadhani uongo wako sasa ni kama comedy tuTruth hurts
tunaongelea kufufuliwa kenge wewe hujui aliefufua ATCL au unajitia upunguwani hapa😂😂😂😂😂4yrs gani unaongelea? ATCL has been operational since 2000. So hizo miaka zako nne umetoa wapi?
🤣🤣🤣🤣Mkope John ukamlipe Juma 😅😅😅
Mtambo wa komoni unafyatua hasara kama biashara ya kupodoa mbuzi mpaka mnaenda kukopa kwengine kumlipa mchina
Everyone knows your sgr the lose king 😅
Your entire fleet brings a total revenue of $70M, KQ of ndege "tatu" as you like to say, generate a revenue of $520M.Your comedian Mr . Eti ndege moja ipate faida kuliko 10+ ndege , wakati ndege yenu ilikua inaenda USA haina abiria haaaaaaaa. Nadhani uongo wako sasa ni kama comedy tu
They are still calling the shots under the new guise.They are now under our control.
Show us any shot they have called.They are still calling the shots under the new guise.
Kwani ilikuwa imekufa? Did ATCL stop operation na hatujui?tunaongelea kufufuliwa kenge wewe hujui aliefufua ATCL au unajitia upunguwani hapa![]()



iliyumba kiasi kwamba ni kama ilikufa kabisa na sasa ikazinduliwa rasmi kwa kununuliwa ndege 11 kwa mpigo na serekali na sasa zingine 5 zinaingia mwaka huu kaa mkao wakula na ukumbuke ni cash deal hakuna loan wala mama yake loan 😂😂😂 najua hupendi ukweli ila vumilia tuKwani ilikuwa imekufa? Did ATCL stop operation na hatujui?![]()
Na bado mnapata revenue ya $70M?iliyumba kiasi kwamba ni kama ilikufa kabisa na sasa ikazinduliwa rasmi kwa kununuliwa ndege 11 kwa mpigo na serekali na sasa zingine 5 zinaingia mwaka huu kaa mkao wakula na ukumbuke ni cash deal hakuna loan wala mama yake loannajua hupendi ukweli ila vumilia tu


. So ndege moja inaleta revenue of around $6M Kwa mwaka and $17k in a day?


hatukurupuki tunaenda kwa plan 🇹🇿🇹🇿
nimekwambia kwa biashara ya ndege miaka minne ni michache sana ukumbuke bado investment inaendelea ATCL ndio maana utashuhudia mwaka huu ndege 5 zinaingiaNa bado mnapata revenue ya $70M?. So ndege moja inaleta revenue of around $6M Kwa mwaka and $17k in a day?
![]()
Why are you writing a long story? Tushakubaliana kuwa ATCL only generates $70M dollars in revenue compared to KQ which is racking a whopping $520Mnimekwambia kwa biashara ya ndege miaka minne ni michache sana ukumbuke bado investment inaendelea ATCL ndio maana utashuhudia mwaka huu ndege 5 zinaingia
nyinyi miaka 50 bado munamiliki ndege tatu chakavu alaf munataka profit serious ?
KQ inaendesha hasara leo miaka 10 mfululizo bila matumaini sasa hvi munakopa pesa kufufua maiti aliekufa![]()
na labda ngoja nikwambie wanaofaidika KQ ni wale wenye ndege zao ambazo nyinyi mume lease kwao hao ndio wanaonufaika kwasababu lazma mukope kuwalipa wao![]()


