Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Your comedian Mr . Eti ndege moja ipate faida kuliko 10+ ndege , wakati ndege yenu ilikua inaenda USA haina abiria haaaaaaaa. Nadhani uongo wako sasa ni kama comedy tu
Your entire fleet brings a total revenue of $70M, KQ of ndege "tatu" as you like to say, generate a revenue of $520M.
 
Kwani ilikuwa imekufa? Did ATCL stop operation na hatujui?
iliyumba kiasi kwamba ni kama ilikufa kabisa na sasa ikazinduliwa rasmi kwa kununuliwa ndege 11 kwa mpigo na serekali na sasa zingine 5 zinaingia mwaka huu kaa mkao wakula na ukumbuke ni cash deal hakuna loan wala mama yake loan 😂😂😂 najua hupendi ukweli ila vumilia tu
 
iliyumba kiasi kwamba ni kama ilikufa kabisa na sasa ikazinduliwa rasmi kwa kununuliwa ndege 11 kwa mpigo na serekali na sasa zingine 5 zinaingia mwaka huu kaa mkao wakula na ukumbuke ni cash deal hakuna loan wala mama yake loan najua hupendi ukweli ila vumilia tu
Na bado mnapata revenue ya $70M?. So ndege moja inaleta revenue of around $6M Kwa mwaka and $17k in a day?
 
Na bado mnapata revenue ya $70M?. So ndege moja inaleta revenue of around $6M Kwa mwaka and $17k in a day?
nimekwambia kwa biashara ya ndege miaka minne ni michache sana ukumbuke bado investment inaendelea ATCL ndio maana utashuhudia mwaka huu ndege 5 zinaingia

nyinyi miaka 50 bado munamiliki ndege tatu chakavu alaf munataka profit serious ?🤣🤣

KQ inaendesha hasara leo miaka 10 mfululizo bila matumaini sasa hvi munakopa pesa kufufua maiti aliekufa 😂😂😂

na labda ngoja nikwambie wanaofaidika KQ ni wale wenye ndege zao ambazo nyinyi mume lease kwao hao ndio wanaonufaika kwasababu lazma mukope kuwalipa wao 🤣
 
nimekwambia kwa biashara ya ndege miaka minne ni michache sana ukumbuke bado investment inaendelea ATCL ndio maana utashuhudia mwaka huu ndege 5 zinaingia

nyinyi miaka 50 bado munamiliki ndege tatu chakavu alaf munataka profit serious ?

KQ inaendesha hasara leo miaka 10 mfululizo bila matumaini sasa hvi munakopa pesa kufufua maiti aliekufa

na labda ngoja nikwambie wanaofaidika KQ ni wale wenye ndege zao ambazo nyinyi mume lease kwao hao ndio wanaonufaika kwasababu lazma mukope kuwalipa wao
Why are you writing a long story? Tushakubaliana kuwa ATCL only generates $70M dollars in revenue compared to KQ which is racking a whopping $520M
 
Back
Top Bottom