Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20838270_1832629997066628_3028090314641375232_n.jpg
 
Hiyo flyover ya tz kwani zinaundwa na gold coating....Hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwakani mtaiona Tazara maana mnakua hamuelewi....nadhani siku ya kuzinduliwa mtaandaa makala yakuikosoa Kiongozi akiwa wanjala...picha mmeshaziona imeanza kuinuka itakua na bridge is 425 M,iyo ni barabara ya kwenda airport na kurudi town...
Ubungo bado wanakazi kubwa pale hadi ianze kuinuka itachukua time Ile itaisha miaka 3 badae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwakani mtaiona Tazara maana mnakua hamuelewi....nadhani siku ya kuzinduliwa mtaandaa makala yakuikosoa Kiongozi akiwa wanjala...picha mmeshaziona imeanza kuinuka itakua na bridge is 425 M,iyo ni barabara ya kwenda airport na kurudi town...
Ubungo bado wanakazi kubwa pale hadi ianze kuinuka itachukua time Ile itaisha miaka 3 badae

Sent using Jamii Forums mobile app

😀😀😀😀😀😀😀😀

425 M ni nzuri.
 
Back
Top Bottom