Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa rudishia wenyewe picha yao.

picha ya Tanzania’s TRC hii hapa [emoji23].. mnapata tabu sana
IMG_4756.jpg
 
Na ndio una viongozi wengi Serikalini ambao ni top kuanzia VP hadi mawaziri na ma makatibu wakuu.

Una wasanii maarufu wengi,Wana michezo na wafanyabiashara lakini wote hawapendi kwao,wanajifanyaga wazalendo Sana.
Yani we pimbi hapa uliongea point kubwa, nilipanga nikupige ban sema nilisahau, lkn hapa umeongea point kubwa.
 
Mwendazake huwezi kumkosoa kizembe zembe mana ndiye aliyetupa power ya kuwa hapa, kama co yeye wakenya walikuwa wanashinda hii battle asubuhi saa 12.
Kwanza mm mwenyewe wkt huu uzi unaanzishwa nilikuwa sielewi Annael ana lengo gani lkn Leo kumaamak ..eee nchi ipo vzr somehow japo co kama awamu iliyopita.
 
Back
Top Bottom