Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna mnachokijua kuhusu siasa,Mkapa alianzisha miradi,ikamaliziwana kikwete,Kikwete akanzisha miradi Kama mwendokasi,Kigamboni bridge,TAZAM highway,Terminal 3,seokndari za kata, nk.Magufuli alianzisha miradi pia,na Samia ataanzisha miradi itamalizwa na ajaye na ajaye atamaliza na kuanzisha mirad
Rais Kikwete hakuanzisha BRT, kuanzia feasibilty study ya jinsi ya kutatua msongamano wa magari Dar, mpaka mchakato wa kutafuta mkopo ulianzishwa na awamu ya 3.
 
wakatae hii sio kenya ona kwanza barabara ilivo alaf angalia hao majambazi mchana kweupe alooo🧐🧐🧐
 
Kuliko hawa?
kxcwhexypkn96i5c91d5ee3aafa.jpg


turkana.jpg
Ana ngombe mia kadhaa hyo, yani ki utajiri humfiki sema tu fikra zake bado ni za 19th century...
 
Same way you are in JF 24/7 to counter tweets that can massage our egos
Hapa umechemka, yani ungeliruka tu kuliko kujibu kibwege hvi
Inakaa we ni mmoja wapo wa kushinda twutter na kuchakura negative comments kutoka kw wakenya ili uje upost
 
Hakuna mnachokijua kuhusu siasa,Mkapa alianzisha miradi,ikamaliziwana kikwete,Kikwete akanzisha miradi Kama mwendokasi,Kigamboni bridge,TAZAM highway,Terminal 3,seokndari za kata, nk.Magufuli alianzisha miradi pia,na Samia ataanzisha miradi itamalizwa na ajaye na ajaye atamaliza na kuanzisha mirad
Wacha huu ujinga haraka sana.
 
Back
Top Bottom