Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa ni magomeni,mara ya kwanza ilikuwa ina nyumba low standard lakini serikali iliamua kubomoa nyumba zote na kuwajengea wananchi nyumba za ghorofa kabisa tena watagawiwa bure kabsa.

Kenya maisha kama haya hayapo lakini ukiwaona wanajigamba mtandaoni utafkiri wapo Europe kumbe 65% ya wakenya ata uhakika tu wa kula hawana

NB;Mradi upo 100% muda sio mrefu zitakabidhiwa kwa wananchi na watapewa hati kama wamiliki halali
View attachment 2094238View attachment 2094239View attachment 2094240View attachment 2094242View attachment 2094243
Screenshot_20220124-072003.jpg
 
Hakuna mnachokijua kuhusu siasa,Mkapa alianzisha miradi,ikamaliziwana kikwete,Kikwete akanzisha miradi Kama mwendokasi,Kigamboni bridge,TAZAM highway,Terminal 3,seokndari za kata, nk.Magufuli alianzisha miradi pia,na Samia ataanzisha miradi itamalizwa na ajaye na ajaye atamaliza na kuanzisha mirad
Rais Kikwete hakuanzisha BRT, kuanzia feasibilty study ya jinsi ya kutatua msongamano wa magari Dar, mpaka mchakato wa kutafuta mkopo ulianzishwa na awamu ya 3.
 
wakatae hii sio kenya ona kwanza barabara ilivo alaf angalia hao majambazi mchana kweupe alooo🧐🧐🧐
 
Same way you are in JF 24/7 to counter tweets that can massage our egos
Hapa umechemka, yani ungeliruka tu kuliko kujibu kibwege hvi
Inakaa we ni mmoja wapo wa kushinda twutter na kuchakura negative comments kutoka kw wakenya ili uje upost
 
Hakuna mnachokijua kuhusu siasa,Mkapa alianzisha miradi,ikamaliziwana kikwete,Kikwete akanzisha miradi Kama mwendokasi,Kigamboni bridge,TAZAM highway,Terminal 3,seokndari za kata, nk.Magufuli alianzisha miradi pia,na Samia ataanzisha miradi itamalizwa na ajaye na ajaye atamaliza na kuanzisha mirad
Wacha huu ujinga haraka sana.
 
Back
Top Bottom