Hapa ni magomeni,mara ya kwanza ilikuwa ina nyumba low standard lakini serikali iliamua kubomoa nyumba zote na kuwajengea wananchi nyumba za ghorofa kabisa tena watagawiwa bure kabsa.
Kenya maisha kama haya hayapo lakini ukiwaona wanajigamba mtandaoni utafkiri wapo Europe kumbe 65% ya wakenya ata uhakika tu wa kula hawana
NB;Mradi upo 100% muda sio mrefu zitakabidhiwa kwa wananchi na watapewa hati kama wamiliki halali
View attachment 2094238View attachment 2094239View attachment 2094240View attachment 2094242View attachment 2094243
Kwenye suala zima la usafiri tumewaacha mbali mno.
we ain't even sure if those ujamaa villages are towns...........mwanza yenyewe is just a complete slum
Rais Kikwete hakuanzisha BRT, kuanzia feasibilty study ya jinsi ya kutatua msongamano wa magari Dar, mpaka mchakato wa kutafuta mkopo ulianzishwa na awamu ya 3.Hakuna mnachokijua kuhusu siasa,Mkapa alianzisha miradi,ikamaliziwana kikwete,Kikwete akanzisha miradi Kama mwendokasi,Kigamboni bridge,TAZAM highway,Terminal 3,seokndari za kata, nk.Magufuli alianzisha miradi pia,na Samia ataanzisha miradi itamalizwa na ajaye na ajaye atamaliza na kuanzisha mirad
Ana ngombe mia kadhaa hyo, yani ki utajiri humfiki sema tu fikra zake bado ni za 19th century...Kuliko hawa?
Moshi ile ile ya kilimanjarooneni kisumu sasa hata kwa moshi tu haitoboi
Maskini hawezi mudu madeniStronger kwenye kutake loans?
Unataka battle ya meli na tz 😂😂😂 au unajitia ukichaa tu usiokuwa nao, haya futa haraka huu uongo wakoThe biggest ship in East AFRICA IS mv Kabaka Mutebi from Uganda followed by MV Uhuru 2, hiyo yenu sidhani hata kama inapatikana top5.
Wachana na moshi kabisa bablai, Kisumu haitii pua kwa moshi, kivyovyote, labda kwa kuzidi kuwa na zile calvat.. otherwise Kisumu si chochote kwa MoshiMoshi ile ile ya kilimanjaro
Hapa umechemka, yani ungeliruka tu kuliko kujibu kibwege hviSame way you are in JF 24/7 to counter tweets that can massage our egos
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣BTW Safaricom Kenya ina less than 5% direct shareholding in Ethiopian Safaricom!
unaleta picha ya 2016?? GIZA the desperate wank&r🤣🤣🤣🤣
Moshi haswaWachana na moshi kabisa bablai, Kisumu haitii pua kwa moshi, kivyovyote, labda kwa kuzidi kuwa na zile calvat.. otherwise Kisumu si chochote kwa Moshi
We pumbavu nn, ulikuwa wapi wkt Kisumu inapokea kichapo toka kwa Arusha.Moshi haswa
Itakua unaugua sio bure
ignorant dimwit 😂😂Kenya GDP = $97B
Kenya total debt = $106B
🤣🤣🤣🤣
Wacha huu ujinga haraka sana.Hakuna mnachokijua kuhusu siasa,Mkapa alianzisha miradi,ikamaliziwana kikwete,Kikwete akanzisha miradi Kama mwendokasi,Kigamboni bridge,TAZAM highway,Terminal 3,seokndari za kata, nk.Magufuli alianzisha miradi pia,na Samia ataanzisha miradi itamalizwa na ajaye na ajaye atamaliza na kuanzisha mirad