NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Green city in the Sun.
Green city in the Sun.
unatapika tu..ama ushalewawhich economy ambayo inashindwa kuwalisha wakenya wanaokufa na njaa, uchumi ambao hauwez jenga 5km railway bila mkopo 😂😂😂😂
Lete za wilaya tuone hzo CT SCAN kwn unafikiria hatuwajui nyie watu wa sampleOmba uonyeshwe ila usitoe conclusion mjomba, kuna hospitali za gvt (regional referral hospitals) pamoja na private sector kibao ziko na mavifaa ya kufa mtu, we ingia google tu utafute ujionee mwenyewe
Lete za wilaya tuone hzo CT SCAN kwn unafikiria hatuwajui nyie watu wa sample
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haya oneni sasahebu oneni huyu, eti kisumu ni ndogoView attachment 2093947View attachment 2093956
😂😂😂😂 mbona hujajibu sasaunatapika tu..ama ushalewa
which economy ambayo inashindwa kuwalisha wakenya wanaokufa na njaa, uchumi ambao hauwez jenga 5km railway bila mkopo 😂😂😂😂
Unamaanisha akina mbeya city
haha.....those uswazis all over tanganyika that you call cities are laughable.......overrated villages called towns
hapa kazi tu.....
Daah me npo hapa mwanza yani kazi inayofanyika ni kazi ya viwango sana nahisi hapa east Africa hakuna kama Tanzania na baada ya miaka 10 tutakuwa levels za msauzi