joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hahahaha, nchi inayoendeshwa kwa mikopo, GDP kubwa yote inaishia katika Bank accounts za Uhuru Kenyatta na mama Ngina, Mchina alipokataa kutoa mkopo reli imeishia msituni, Failed state indeedYeah mnaskua vibaya huwa mnanyimwa loans raisi wenyu alifukuzwa kama burukenge alipo Enda kuomba loan ya dam akiaribu heritage





