Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



Hizi billboard kwenye kila kituo , Kuna watu wamebandika tatu ukutani mjini hadi tuliletewa hapa

IMG_4187.jpg
 

Mkuu hapa sio mji wa kiserikali, hapa ni somewhere Makuru where some of the government organizations ziko hapa,
Mfano BOT, Hazina, NBS, NHIF, Pharmacy Council NK,

Mji wa serikali Upo Mtumba njia ya Morogoro, ukipita nanenane..na kule sasa ndio kufuru inafanyika, nguvu ya gdp inadhihirika
Dodoma is the Next big thing in East Africa
 
Benjamin William Mkapa hospital DOM, leo nimeona niwatolee uvivu kidogo ..kenya mnashangaa sisi kuwazidi kwenye suala la huduma za Afya.? Tuliwekeza imagine hii ni gvmnt owned hospital, inafanya transplant kibao na ni hospitali ya juzi tu tangu ifunguliwe it has less than 5 years, nje ya NAIROBI tutawapiga mpaka mnakufa ona vile inakaa international levels View attachment 2092656View attachment 2092657View attachment 2092658View attachment 2092659View attachment 2092660View attachment 2092663View attachment 2092664View attachment 2092665View attachment 2092666View attachment 2092675celebration of first kidney transplant View attachment 2092677View attachment 2092678View attachment 2092679View attachment 2092680View attachment 2092681View attachment 2092682View attachment 2092686
Hapa panafaa ukiwa na masters yako sio MD chronic utatumwa kazi wakubwa wanaweka hela mfukoni

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hapa sio mji wa kiserikali, hapa ni somewhere Makuru where some of the government organizations ziko hapa,
Mfano BOT, Hazina, NBS, NHIF, Pharmacy Council NK,

Mji wa serikali Upo Mtumba njia ya Morogoro, ukipita nanenane..na kule sasa ndio kufuru inafanyika, nguvu ya gdp inadhihirika
Dodoma is the Next big thing in East Africa
Maybe big thing in Tanganyika😄😄😄😄😄dodoma yenyewe haina at miundo msingi za kutajika hapa East Africa
 
Back
Top Bottom