Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

(tanzania - zanzibar ) = tanganyika.....
imagin ji nchi jizima kama hichi kutengeneza tu $52b! huku wakidai eti wana madina yote duniani, eti wana rotuba zaidi na wana zalisha chakula kingi zaidi africa, wana mapori na misitu zaidi.. ole wangu View attachment 2091411
have you ever wondered if we swapped countries with these guys we see how they manage to generate even 30 billion dollars a year......lol.Tanzanians generally are not very resourceful people.......
 
ni wazi, tanganyika inaonekana kujenga miradi mikubwa sana ya kimataifa, kama vile sgr, ili ionekane maarufu, ili ipate chakutishia nchi za africa, sanasana kenya.. na ilhali uchumi wao ni uleule mdogo haiwezi ikasitiri hayo yote kwa mmda mrefu. punda itachoka in less than 5yrs from now, get my word..
sisi tunajenga miradi zetu kwa ustaraabu pasipo kujikaza saana.. tunajenga miradi inayo endana na uchumi wetu. hatuoni machungu kwa ujenzi wa miradi kama nyinyi..

huwaga inasemwa.. "kill what you can eat"
Hayo maneno unayo yasema umepata moyo wa kuyasema kwa sababu JPM hayupo tutakwama kwa sababu ya kiongozi na viongozi tulio nao sasa ni Mazuzu ,ila ukweli ni kwamba tz inanguvu sana ya kuweza kujitegemea kuliko nchi nyingi africa,ila kwa sasa tujiandae kupitia dhiki kuu ya mfumuko wa bei hapa EA kutokana na rais mbovu tuliye naye hadi wakenya mtapata madhara ya chakula miezi michache ijayo njaa itakuwa kubwa maana mama kaua kilimo kwa kupandisha bei ya pembejeo
 
Hayo maneno unayo yasema umepata moyo wa kuyasema kwa sababu JPM hayupo tutakwama kwa sababu ya kiongozi na viongozi tulio nao sasa ni Mazuzu ,ila ukweli ni kwamba tz inanguvu sana ya kuweza kujitegemea kuliko nchi nyingi africa,ila kwa sasa tujiandae kupitia dhiki kuu ya mfumuko wa bei hapa EA kutokana na rais mbovu tuliye naye hadi wakenya mtapata madhara ya chakula miezi michache ijayo njaa itakuwa kubwa maana mama kaua kilimo kwa kupandisha bei ya pembejeo

Huyu mama Hamna kitu yaani, next time vetting ya mgombea mwenza ifanyike vizuri,
Kwa sasa tuna serikali mbovu zaidi tangu tupate uhuru.
 
have you ever wondered if we swapped countries with these guys we see how they manage to generate even 30 billion dollars a year......lol.Tanzanians generally are not very resourceful people.......
i just can't imagine.. ona,.. kenya a non resource country with small arable land, no minerals, still seen as non oil resource country, but still No.3 in sub saharan africa. and No.6 overall. we should be proud of who we are
 
063197AF-78CD-4D75-9DF0-3CC9687F9D08.jpeg
60DBB5C2-AD49-49D1-8998-D6AB9756F4F7.jpeg
 
Tanzania hatuna bigger power problems ....bali tanzania kwa sasa hata nyinyi wakenya mnajua kuwa hatuna Rais na tulichonacho ni mfano wa rais ndiyo big problem tuliyonayo kwa sasa ,ila very soon tuta clear ili tatizo la kukosa Rais ,
Sasa unanililia kuhusu uongozi wa nchi yenu ili nifanyeje? Wakati mkizungumzia nationwide power outage iliyofanyika Kenya hivi majuzi mlisahau shida za umeme mlizonazo?

Lastly, nataka tu nikukumbushe kwamba Kenya inagenerate umeme nyingi kuliko Tanzania so if we can use that basis to ascertain ni nchi gani kuna tatizo la umeme, then your guess is as good as mine
 
rather scrambling for our sweet money to feed your desperate farmers sort of........lol.Mexico transports millions of tonnes of food to the USA but who gets desperate if one stops selling.......while sellers are all over the world bitch
Screenshot_20220119-105735_Photos.jpg
this kenyan dollar is giving tanzanian farmers and artiste sleepless night to work extra hard, day and night just to hold it, including, alikiba, diamond,
Screenshot_20220120-022241_1.jpg
pamoja na hawa 👇🏿
20220101_193326.jpg
 
Back
Top Bottom