Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Nilikuambia upange CBD zenu zote humu unatapatapa tu, eti kariokoo, muonekano wa kabul., viapartments kwa wingi.., panga moja baada ya nyingine., nikuhesabie vya maana.., hamna chochote., utazunguka palepale tu na kiswahili mingi.., mbona ukweli hampendi, ukubwa sio maendeleo, na ukubwa wa Dar ni udongo na idadi ya watu not business district π π π π πππππ So sad.. we zunguka rudisha, ila unatakiwa ujue kwamba hakuna comparison kwa ukubwa wa cbd, NAIROBI is just a tiny town kwa DSM mzee, hususan likija suala la ukubwa wa financial districts.. shikilieni uko uko kwenye real Estates, uko ndio comfort zone yenu.. ila uku financial district KK pekee inaitoa makamasi NAIROBI..