The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Kwahiyo hizi za juu ndio hazikutani na road nyingine? Hivi unaelewa maana ya parallel?Kutii ujinga? Fala hata hajui maaana ya Parallel lakini kamekazana as he is the inventor of the word.![]()
Kwahiyo hizi za juu ndio hazikutani na road nyingine? Hivi unaelewa maana ya parallel?Kutii ujinga? Fala hata hajui maaana ya Parallel lakini kamekazana as he is the inventor of the word.![]()
Bibie acha fujo... Kaa Kwa kutulia..Hehehe!!mzee naona umeanza kuwa mpole, hivi itakuaje waziri mkuu ashindwe kujua km hyo reli yenu haistahili kuisha 2019 bali ilipaswa mpka sasa iwe inajengwa tu...
Ndio manake vichwa vya treni mwaka wa pili sasa havijaingia kumbe teknolojia, basi si mkae mkisema hvo na mapema
JamiiForums mobile app
Thika road is the 8lane road with few and shot service roads parallel to it hata ulie hautabadili hiloThere is nothing parallel hapo![]()








If you knew the meaning of parallel ungejua ni hizo tu going by this picture you have posted. Lakini juu hujui what parallel is, tutakucheka an tukuache an ujinga wako🤣🤣🤣
Kuna njia nyingi sana za kutengeneza itersection kati ya barabara mbili ambazo ziko parallel bila hzo barabara kuingiliana mzee..eti moja itoke ije intersect alafu irudi vile vile..Nitajie road ambayo hai intersect na road nyinginep, popote duniani.











Kwhyo Majaliwa alikurupuka sioBibie acha fujo... Kaa Kwa kutulia..
Haya mambo huwezi kuyaelewa Kwa urahisi kama hivi unavyotaka. PM kuongea ni jambo moja na pia Kuna miradi mingi ambayo inatakiwa kwenda sambamba na hii reli.
Ila ukiweza kunionesha mahali mkandarasi alisema reli itakuwa complete hiyo 2019 au any date before this year nioneshe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Onesha na mwisho wa hizo roads mbuzi wewe.Kuna njia nyingi sana za kutengeneza itersection kati ya barabara mbili ambazo ziko parallel bila hzo barabara kuingiliana mzee..eti moja itoke ije intersect alafu irudi vile vile..
Hyo ni big no.ukiona road ya hvo hyo haiwezi kuitwa parallel
View attachment 2078429
JamiiForums mobile app
Says a person who doesn`t know the meaning of parallel🤣🤣🤣Thika road is the 8lane road with few and shot service roads parallel to it hata ulie hautabadili hiloView attachment 2078427
Una akili ndogo sanaInamaanisha hujaelewa hata kitu uliscreenshot?😂😂 The screenshot sai that service roas are roas which run parallel to main roa, so I want you to show me service roads in this image.
View attachment 2078327
KajilipuaSays a person who doesn`t know the meaning of parallel
Thika Road (commonly known as the Thika Superhighway) is an 8-lane controlled-access highway in Kenya, with 12 lanes in some sections. It links the capital city of Nairobi with the industrial town of Thika. The Thika Road forms 50 km of the A2 Highway, which is part of the Cape to Cairo Road. In Kenya, it links Namanga at the Tanzania-Kenya border to the Kenya-Ethiopia border town of Moyale.











Anajitia uchizi tuThese are service roads which are parallel to the main road, unless you don't know the meaning of "parallel", na ndiyo maana ukiangalia haziendi mbali zinaishia tu hapo mbele na kufanya Thika road kuwa 8lane road.View attachment 2078332
Lakini sio ndogo kama yako🤣🤣Una akili ndogo sana
Naona unajifanya hujaona place imeandikwa 12 lanes in some sections🤣🤣🤣Kajilipua![]()
Dada komora096 mtu kajiripua hukuSays a person who doesn`t know the meaning of parallel
Thika Road (commonly known as the Thika Superhighway) is an 8-lane controlled-access highway in Kenya, with 12 lanes in some sections. It links the capital city of Nairobi with the industrial town of Thika. The Thika Road forms 50 km of the A2 Highway, which is part of the Cape to Cairo Road. In Kenya, it links Namanga at the Tanzania-Kenya border to the Kenya-Ethiopia border town of Moyale.








In some section ndio hiyo mnahesabu service roads kama cc tuseme Kimara-Kibaha modern highway ni twelve lane roadNaona unajifanya hujaona place imeandikwa 12 lanes in some sections
Thika Road (commonly known as the Thika Superhighway) is an 8-lane controlled-access highway in Kenya, with 12 lanes in some sections. It links the capital city of Nairobi with the industrial town of Thika. The Thika Road forms 50 km of the A2 Highway, which is part of the Cape to Cairo Road. In Kenya, it links Namanga at the Tanzania-Kenya border to the Kenya-Ethiopia border town of Moyale.









Achana na hao wapumbavu watakuabukiza upuuzi wao
Ebu count hizo 12 tuone🤣🤣🤣. Naona hesabu pia imekuwa shida kwako😂🤣In some section ndio hiyo mnahesabu service roads kama cc tuseme Kimara-Kibaha modern highway ni twelve lane roadView attachment 2078435
From their own sources 😂😂😂