Ukweli imekutesa mzee π π π π π anza safari tokea Mombasa, endesha gari lako hadi Nairobi, endelea, panda upite Naivash, uingie Nakuru city, upite ufike Eldoret, kule mwisho ukitoka Eldoret kuelekea Uganda, utapata njia panda sehemu inaitwa maili tisa, moja ya kuelekea Bungoma all the way to Malaba border na ya pili ya kuelekea Kitale kupitia Moi's bridge, ukipitia ya Mois's Bridge, from kitale utaendelea na kuelekea Lodwar, fuata hiyo highway utafika Turkana.., hakuna sehemu utakosa lami kwa huo mwendo wote.., tumia google earth kilaza π π π π π
Njia ya pili kutokea Tanzania, ukiingia kenya kupitia Isbania border kwa wa Kurya., fuata hiyo njia utapita Migori town, uje upite Homa bay utafika Kisumu City., endelea pita Kisumu nenda moja kwa moja hadi Kakamega, utapita Chavakali interchange, endelea hadi Webuye, utapata interchange nyingine kwa junction ya njia ya kutoka Eldoret kuelekea Malaba, usipande juu, pita njia ya kando, join the road heading to Webuye town, then utapata interchange pale Webuye sehemu inaitwa kwa Dina, pita chini ya interchange, join the junction ya kuelekea kitale., utafika Turkana., lami smooth!!