Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Utakimbilia nini tena zaidi ya kupost uswazi. Nimekuuliza swali hizi mtaa hapa zimevunjwa πŸ‘‡.. magorofa ya udongo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚View attachment 2043930
Uligeuza gear juu ya hewa baada ya kuumbua propaganda yenu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ , kiswahili peleka vijiweni, unatafuta pa kutokea πŸ˜‚ πŸ˜‚ ..,
1639488721107.png
 
Kutoka Lungalunga hadi Mombasa ni Kama 90Km lakini barabara haipitiki, ni Kama karai ya kupikia vitumbua, stop your nonsense, majority of Kenya's roads are in pathetic condition.
sasa hiyo map yenye nimekuchorea hizo njia unadhani ni kama hiyo Lunga Lunga yako? wewe ni kilaza nini? tumia google earth, tazama kila eneo nimekutajia, zoom and see, dunia ya leo mtu hakudanganyi, na mimi sio mwehu kama mlivyo wengi wenu.., prove me wrong ba mzee..,
 
sasa hiyo map yenye nimekuchorea hizo njia unadhani ni kama hiyo Lunga Lunga yako? wewe ni kilaza nini? tumia google earth, tazama kila eneo nimekutajia, zoom and see, dunia ya leo mtu hakudanganyi, na mimi sio mwehu kama mlivyo wengi wenu.., prove me wrong ba mzee..,
Sasa jamani barabara iliyotoboka toboka utaiona kupitia google map kweli.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwenzako kasema hiyo ni propaganda hiyo, nimemuuliza zimeshavunjwa hizo mitaa akakosa majibu,wewe unadai ni majengo ya zamani Ila kwasasa hiyo mtaa sijui yote iko na lami πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wakenya bhana . Saws lakini hiyo ni mitaa ya Nairobi sindio.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Propaganda iko kwa matumizi na sio picha per'se wewe kilaza, fikra zako ni finyu sana kuelewa jambo rahisi tatizo πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚, unachosha ., jamaa kachukua picha ya zamani, yenye muonekano wa kizamani, ili apotoshe eti nai ya sasa iko vile, yaani mnajaribu kujikomboa lakini wapi, kila mti mnakwea unateleza tu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ , baba levo kafika akajionea., na wewe tumia youtube ukajionee Nairobi ya sasa, na clips za 2021 pia ziko, mbona tuandike kwa mate na wino upo.., πŸ’ͺ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ kazi kwako kilaza
 
Watu wa arusha kwanza mnafaa mheshimu Nairobi, wengi wenyu wenye hela healthcare, spare parts, shopping, schooling mnakujanga Nairobi
Vilaza wa vijiweni wakisoma ulichoandika ni povu zinawatoka kwa fujo πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Sasa jamani barabara iliyotoboka toboka utaiona kupitia google map kweli.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
wewe umeona wapi kilaza? unaumia kweli., mtanyooka roundi hii., na bado, mombasa pekee itawatoa vumbi sijui mtajificha wapi roundi hii?.., mwaga povu hadi basi πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Picha zote za kugeuzageuza ni summary ya kitu hiki hapa ..πŸ‘‡View attachment 2043936hako ni ka sehem kadogo sana
Kuelekea Pipeline πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ , hakuna hii sehemu kwa picha zote ambazo nime post., ona mnavyo teseka πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ , utajiumbua leo, sasa unajua haujui chochote πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ., Eastlands ni kubwa sana kuliko Dar CBD yoote...,
 
Propaganda iko kwa matumizi na sio picha per'se wewe kilaza, fikra zako ni finyu sana kuelewa jambo rahisi tatizo πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚, unachosha ., jamaa kachukua picha ya zamani, yenye muonekano wa kizamani, ili apotoshe eti nai ya sasa iko vile, yaani mnajaribu kujikomboa lakini wapi, kila mti mnakwea unateleza tu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ , baba levo kafika akajionea., na wewe tumia youtube ukajionee Nairobi ya sasa, na clips za 2021 pia ziko, mbona tuandike kwa mate na wino upo.., πŸ’ͺ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ kazi kwako kilaza

Utapost video kibao Ila hapa hunikimbii,je hili eneo lilivunjwa.? πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚
3033200_Screen_Shot_2021-12-14_at_14.14.34.png
jibu ni yes or no.?
 
Kuelekea Pipeline πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ , hakuna hii sehemu kwa picha zote ambazo nime post., ona mnavyo teseka πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ , utajiumbua leo, sasa unajua haujui chochote πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ., Eastlands ni kubwa sana kuliko Dar CBD yoote...,
Kwamba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kariakoo it self ni kubwa kuliko CBDs zenu zote tatu combined .. uje utaje ka eneo haka πŸ‘‡
3031583_Screenshot_20210616-011846.png
you must be fucking crazy
 
Back
Top Bottom