Kenya mnatia aibu sana tulisema tunatuma nyumba za watu wa kawaida wa Nairobi na Dsm sasa nyie mnaanza kutuma apartment ambazo ni majina ya kuziremba ila sehemu yoyote ikishakuwa mnakaa more than one family in one fence mnaishi dormitory
Kuliko kujisifia kuishi kwenye dormitory ya mwanaume mmoja upo uko umepanga ww na mkeo kwa NN mkeo asikudharau na kukupiga
Build your own dream house disighn na Fundi wako wapi unataka kuishi ww na mkeo na family yako na privacy yako
Tanzania inakupa chance ya kujenga nyumba uipendayo ww mwenyewe tena viwanja vya being che mjini
spensa_e