Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

milima,mito na maziwa ni moja ya vivutio vya asili vya LDC,huko kwenu moja ya kivutio ni jangwa na ukame lakini mnaona aibu kupost picha za jangwa na ukame.



bado tu nyinyi ni least developed country kama Congo ama Somalia. ....Hao ndio rika zenu punguani wa LDC. ......milima na mabonde haiwezi sitiri umaskini uliofisha na kumega watanzania wenzako....tokeni JF mfanye kazi angalau mjinasue kutoka ldc. ...take the advice or leave it.Na salimia familia yako inayokaa Nairobi. ...Lol
 
Upanga dsm
db26bf38aa3b845f6b42ca88a77f52f7.jpg

Masaki dsm
40ffad759127228acf7dc9ca25f11e15.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app



poleni.....your estate and Property Market is at an infant stage. ....Lol.
 
bado tu nyinyi ni least developed country kama Congo ama Somalia. ....Hao ndio rika zenu punguani wa LDC. ......milima na mabonde haiwezi sitiri umaskini uliofisha na kumega watanzania wenzako....tokeni JF mfanye kazi angalau mjinasue kutoka ldc. ...take the advice or leave it.Na salimia familia yako inayokaa Nairobi. ...Lol
povu hilo....punguza hasira kijana fukara wa nchi ya njaa....nchi ya uhaba wa chakula.

vijana wengi wa nairobi kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira,wamepanga bedsitter room katika yale maeneo ya duni ya nairobi.

kwa wale wasioelewa kuhusu bedsitter,ni kajichumba flani hivi kadogo ambapo jiko na choo hupatikani eneo moja.

kutokana mazingira ya bedsitter room,
harufu ya kinyesi toka chooni mara nyingi huenea mpaka jikoni.

msishangae kwanini vijana wa kikenya wana kuwa na ujinga ujinga kichwani,ni kwasababu mda mwingi wanavuta harufu ya kinyesi inayotakana na mazingira ya bedsitter wanayoishi.

e7abad6dc36b1cdfedcfc60e0b74559c.jpg
b54b533c486cdf426149ccdef8a41c4f.jpg
7332f071cdfe0b9ba73030cd83914f81.jpg
da218a55a2a4435f598755895907a1d0.jpg
 
ni ukweli mzeiya.
na majina zenu zinakaa kchawi chawi eti upanga, masake.... what the hell??? don't you guys have some fancy names for your leafy surbarbs??
[HASHTAG]#ThingsWeSeeOnJf[/HASHTAG]
sawa njoroge temekusikia.
 
Back
Top Bottom