Mkuu umewasahau wanajeshi ya mpakani😃Kutana na team za Tanzania zinazomiliki mabasi makali 2021 AZAM👇View attachment 2032658View attachment 2032660SIMBA👇View attachment 2032661View attachment 2032663YANGA 👇View attachment 2032670DODOMA JIJI FC👇IHEFU FC👇View attachment 2032681View attachment 2032682SINGIDA UNITED 👇View attachment 2032696MBEYA CITY 👇View attachment 2032699View attachment 2032700MBAO FC👇View attachment 2032703WHILE JIRANI ZETU WA KASKAZINI TEAM YAO KUBWA INAMILIKI BASI KAMA LINAVYOONEKANA HAPO CHINI 👇View attachment 2032710View attachment 2032711Eeeh Mungu nifundishe kunyamaza 🤐 ... Je nini maoni yako wewe mdau (stakeholder) wa maendeleo EA.?![]()
View attachment 2032672
View attachment 2032688
Maoni yangu Tanzania Hana mpinzani Africa ya mashariki na ya Kati ikifikia kwenye investment ya sports and facilities,kumbuka Tanzania ndo ina uwanja wa kipekee Africa mashariki na ya Kati ambao unatumia led electronic display for outdoor advertisement Azam complexKutana na team za Tanzania zinazomiliki mabasi makali 2021 AZAM👇View attachment 2032658View attachment 2032660SIMBA👇View attachment 2032661View attachment 2032663YANGA 👇View attachment 2032670DODOMA JIJI FC👇IHEFU FC👇View attachment 2032681View attachment 2032682SINGIDA UNITED 👇View attachment 2032696MBEYA CITY 👇View attachment 2032699View attachment 2032700MBAO FC👇View attachment 2032703WHILE JIRANI ZETU WA KASKAZINI TEAM YAO KUBWA INAMILIKI BASI KAMA LINAVYOONEKANA HAPO CHINI 👇View attachment 2032710View attachment 2032711Eeeh Mungu nifundishe kunyamaza 🤐 ... Je nini maoni yako wewe mdau (stakeholder) wa maendeleo EA.?![]()
View attachment 2032672
View attachment 2032688
zetu hampo serious eti gari inavuka mto wakati maji Yana over flow kwenye brigde
Mkuu umewasahau wanajeshi ya mpakani😃View attachment 2032721View attachment 2032722View attachment 2032723
Ila tz watu wameweka pesa bhana kwenye mpira duh..!! Inaonekana mpira tz kwasasa unalipa mnoMaoni yangu Tanzania Hana mpinzani Africa ya mashariki na ya Kati ikifikia kwenye investment ya sports and facilities,kumbuka Tanzania ndo ina uwanja wa kipekee Africa mashariki na ya Kati ambao unatumia led electronic display for outdoor advertisement Azam complex
zetu hampo serious eti gari inavuka mto wakati maji Yana over flow kwenye brigde
Kweli mkuu kwa Hilo tunajitahidi Sana👏👏👏Ila tz watu wameweka pesa bhana kwenye mpira duh..!! Inaonekana mpira tz kwasasa unalipa mno
Samia kahutubia akisema phase 3 brt airport road to gongo la mboto tayari hela ipo na michoro ipo ni kuanza tuu
Angalia picha wakati kikishushwa kutoka Kwenye meli walikiweka Kwenye meter gauge rail kisafiri mpaka Yadi kubwa ya matengenezo ya sgr soga Ndio wakihamishie Kwenye SgrNi SGR, hicho ni kichwa cha majaribio![]()
Kiongozi wala usibishane nao hao ni wabishi sana kwenye vitu ambavyo ni obvious. The fact is elevated section ya Nairobi Expressway haijafika 9km anayebisha aanike kende hapa ni mfinye.Ukinipa ushahidi kwamba expressway elevated section ina japo 9km naondoka Jf, we hushangai NairobiWalker katulia anabaki ku like kwa mbali japo anajua ni uongo, wakunya bhn
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndio ushahidi umewekaHamuna kende ya kuondoka jf nyinyi, hamuezi ondoka, expressway elevated ni 11.2km ama zaidi ba mzee, tuende pole pole, kutoka Westlands hadi CBD ni km ngapi? fanya utafiti usitoe sababu uchwara kujikomboa eti nimepika data![]()
![]()
, haya kutoka CBD hadi Nextgen mall along Mombasa road ni how many km?.., chukua map ama ingia youtube utazame expressway.., kisha funga account pole pole, uondoke kwa mwendo wa aste aste, uje na a new account na new name na averter pia, kama mnavyo fanya humu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()












Hao mbwa ni kama unampigia mbuzi gitaa, kesho atapost tena ile picha na atataka mbishane tena na matusi atakumwagia,Angalia picha wakati kikishushwa kutoka Kwenye meli walikiweka Kwenye meter gauge rail kisafiri mpaka Yadi kubwa ya matengenezo ya sgr soga Ndio wakihamishie Kwenye Sgr
Baadhi ya wakenya sio wote wenye wivu wakaleta fake news .
Tanzania ikifanikiwa kenya imefanikiwa achaneni na mambo ya Mwaka 77 yalipitwa na wakati.
Hii electric sgr ikikamilika itakuwa ya kwanza Afrika kwa urefu.
View attachment 2032796
Sasa nenda Google uwaambie wabadilishe au mstue mkunya mwenzio ñicxie aka update mana yeye huwa ana update google, huoni ma slums hayaonekani Google cku hznapinga kabisaa.., nimetumia hiyo barabara mara mingi., iko shwari kabisa.., hakuna technicalities..,







Mapema tu tunaenda kufanya wonders DSM yote itachakazwa BRT roadsSamia kahutubia akisema phase 3 brt airport road to gongo la mboto tayari hela ipo na michoro ipo ni kuanza tuu
Meli ipi ya Mv Mwanza nn?
Mambo kama haya yanasikitisha kweli kweli