Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Njia ya treni ya umeme
JamiiForums-1151897810.jpg
 
Saa zingine huwa najiuliza mbona mimi hupoteza muda wako kuargue na wewe. Unavyo reason says lot about you as a person. So you've shifted gear from what you were saying earlier about Nairobi kujengwa na wazungu sasa unacgambua picha za barabara.

Bongolala, you are so desperate and stupid at the same time! First, you are comparing totally different pictures? Nani amekudanganya kwamba those footbridges are the same? Nairobi has so many footbridges just in care you didn't know. Thika road alone has more than ten of those, hapo hujaweka barabara zingine.

Lastly, alokuambia barabara za Dar hazina vumbi ni nani? Hizi hapa ni barabara za Nairobi?
View attachment 2013060View attachment 2013062View attachment 2013064View attachment 2013065

Stop being stupid and start reasoning for once!
IMG-20211108-WA0006.jpg
IMG-20211108-WA0004.jpg
3001239_IMG_6405.jpg
3001237_IMG_6404.jpg

Umeona hizi picha za chini sio edit ni live ukiangalia kwenye picha za juu nilipiga mwenyewe wakati wa usiku alafu Angalia jinsi barabara zilivyosafi, bro ..yani barabara za DSM ni safi mno hususani maeneo ambayo hakuna tafrani za watu sanaa .. DAR hakuna barabara chafu kulinganisha na huko kwenu labda ukute hiyo barabara ipo U/C au uswahilini uko kabisa ndio zipo barabara ziko na michanga, Ila hakuna barabara kubwa ambayo ni chafu..
2989001_IMG_2234.jpg
2989000_IMG_2325.jpg
image1024x768.jpg
1.jpg
2888766_IMG_1038.jpg
hizo zote hapo juu ni barabara safii, siku ukija DSM nitafute nitakutembeza uzione
 
Zimerudi kazini..hazina shida tena as before..Turkish , Oman,Fly dubai wanzitumia sana...na China Aviation wamezipa approval zirudi..sema MAX hazifikk Airbus A321LR au XLR tungechukua hizo
Wangesubiri kidogo tuone zikoje, kwa pesa ya MAX wangeweza pata airbus na bombardier, kwa kuongezea kidogo.
 
Back
Top Bottom