Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nakuru inachangia $10b kila mwaka. So we can confidently say that Nakuru is far much ahead of mwanza.
$10 B ni pesa ndefu sana bwana mapesa . Msingekua mnakopa hovyo kiasi hicho . Kwa budget ya kunyaland ni shilingi ngapi vile? Kama Nakuru inatoa kiasi hicho je Nairobi na mombasa? Cooked data as usual
 
Nairobi/Kenya GDP
(13.35/98.85)× 100 = 13.35%
So Nairobi contributes 13.35% of Kenyan GDP.

TUAMBIENI ZILE 86% zinatoka wapi!?
You will never change this fact bongolala hata ulie machozi ya damu
for-the-first-time-the-relative-economic-size-of-kenyas-counties-is-clear-graph-01.png
 
Usipotezee mada. Unatakiwa ukubali
Nairobi GDP is $13.35b
Huo ni uungwana na siyo ugomvi 😂😂😂

Mzee unademka sana
Ugomvi ni pale mjinga kama wewe anapingana na ripoti ya WB iliyoundwa na watafiti
 
Facts have never been your friend. That attitude is not something new to me.

Here is another report from Africa Development Bank na bado Burundi iko mbele ya Tanzania.

2852737_IMG_20210712_220639.jpg
Burundi ni koloni la Tanzania, na inatumia ndege ya rais wa Tanzania, yn kwa kifupi hapa Afrika kuna nchi chache zinazotawala nchi zingine, mojawapo ni Tz, tunataka ifikapo 2050 tunaitawala Kenya mana tushaanza kuwauzia chakula cha bei nafuu, baadaye tunawapa bure, zen full colonization [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20211112-201618.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
$10 B ni pesa ndefu sana bwana mapesa . Msingekua mnakopa hovyo kiasi hicho . Kwa budget ya kunyaland ni shilingi ngapi vile? Kama Nakuru inatoa kiasi hicho je Nairobi na mombasa? Cooked data as usual
Heri kukopa kuliko kupewa donations like Tanzania. Kukopa inamaanisha uko na uwezo wa kulipa lakini donations ni ya kuonewa huruma baada ya kugunduliwa kuwa huezilipa deni.
 
Hawa mbwa ni waongo mnoo, wana mawazo ya kizamani eti ku fix data ili kuwavutia investors, kwa ss wazungu wamestukia na ndiyo maana unaona kwa ss kila kitu kinakuja Tz.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuambia upeleke malalamishi yako WB. Wao ndio walitoa hiyo ripoti. Aja gani sasa kupiga kelele kutoka uswazini as if it will change anything?
 
Nilikuambia upeleke malalamishi yako WB. Wao ndio walitoa hiyo ripoti. Aja gani sasa kupiga kele kutoka uswazini as if it will change anything?
WB siendi ila nitakuja Nairobi mwakani niwaweke uchi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Burundi ni koloni la Tanzania, na inatumia ndege ya rais wa Tanzania, yn kwa kifupi hapa Afrika kuna nchi chache zinazotawala nchi zingine, mojawapo ni Tz, tunataka ifikapo 2050 tunaitawala Kenya mana tushaanza kuwauzia chakula cha bei nafuu, baadaye tunawapa bure, zen full colonization [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2008222

Sent using Jamii Forums mobile app
ALWAYS EMPTY TALK. hOW CAN YOU RULE A COUNTRY THAT IS AHEAD OF YOU INFRASTRUCTURALLY?

2852737_IMG_20210712_220639.jpg
 
Nilikuambia upeleke malalamishi yako WB. Wao ndio walitoa hiyo ripoti. Aja gani sasa kupiga kele kutoka uswazini as if it will change anything?
Mzee usilete ujinga hapa.
First unaleta taarifa za 2016 from world bank blog.
Nimekuletea data from IMF. Kwa sababu hutaki kujifunza, Mama Ngina ataendelea kuwachezesha mziki wake.
 
WB siendi ila nitakuja Nairobi mwakani niwaweke uchi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa bongolala. As long as you don't end up on our streets as a beggar as most of you do when they land in Kenya. We already have so many of you begging on our streets
 
Hatujawahishindwa kulipa deni kama Tanzania.
Ila chakula ndo hamuwezi afford [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa bongolala. As long as you don't end up on our streets as a beggar as most of you do when they land in Kenya. We already have so many of you begging on our streets
2016 Kenya GDP was $69B
Bado unaruka ruka tu. Mshamba wewe.
 
Back
Top Bottom