The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzee unatuletea picha toka kwa waarabu
View attachment 1993704
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzee unatuletea picha toka kwa waarabu
View attachment 1993704
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1993694
Umeona vyenye tz tunafanya kwenye utalii .. haya shindanisha hizo headquarters zenu za utalii na hii ofisi ya Ngorongoro national park, it's done [emoji736] by the government of Tanzania ..yani wanyama wanavyozurura kule mbugani wanaonekana live ndani ya hili jengo.. nyie hamtuwezi bandugu.. for more information pitia hapa [emoji116] . [emoji23][emoji23] Kama utakua umeumia pole .. kesho usitake kuijua tz kiundani utapata pressure bure we endelea kujiaminisha tu kwamba mmetupita[emoji23][emoji23][emoji23]. By the way it's 18 floors building
Unataka nikuaibishe mwanangu!?Ikiandikwa kwa kiarabu inamaanisha ni ya Waarabu? Mibongo hainanga akili. Pthoo🚮🚮🚮
Kwahiyo slums Kenya zipo Kibera tu? Mna slums kubwa duniani karibu 4 na slums zinazosumbua hapa Afrika zaidi ya 100.Compare and contrast
Kibera from the airView attachment 1993714
Dar dreamhouses from the air
View attachment 1993719View attachment 1993720
Haya, tuonyeshe huo msikiti wenu munaoita ikulu.Vimiradi vya kitoto hivyo tulishaachana navyo.
Wewe mwenyewe ni aibu. Nikiongea nawe nahaibika.Unataka nikuaibishe mwanangu!?
Mbingu na ardhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1993721View attachment 1993722View attachment 1993723
Yes this is bank of Tanzania .. vipi umeridhika.?
Wacha kuiba iba picha za wanaume, utapakwa mate shauri yako.Wewe mwenyewe ni aibu. Nikiongea nawe nahaibika.
Kwani si wameanzisha tumalizane nao au.? Kwenye battle la ofisi za serikali I'm sure hawatoboi..Mbingu na ardhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umempiga mpk nikaona huruma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani si wameanzisha tumalizane nao au.? Kwenye battle la ofisi za serikali I'm sure hawatoboi..
Hiyo picha ni ya brookside wee Ng'ombe. Brookside inasupply maziwa to middle Eastern countries na hayo maziwa pakiti huwa zimeandikwa kwa kiarabu ng'ombe hii.Wacha kuiba iba picha za wanaume, utapakwa mate shauri yako.
😂😂😂 Harudii tena I'm sureUmempiga mpk nikaona huruma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tanzania ministry of finance buildingMbingu na ardhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila CBK ya Kenya ina jengo lingine. Haya piga hili basi. 🙂 🙂Mbingu na ardhi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uko vizur au una beep..? Ntakupigia mimiTanzania ministry of finance buildingView attachment 1993729
Kenya ministry of finance buildingView attachment 1993730View attachment 1993731
Evidence???Hiyo picha ni ya brookside wee Ng'ombe. Brookside inasupply maziwa to middle Eastern countries na hayo maziwa pakiti huwa zimeandikwa kwa kiarabu ng'ombe hii.
Do you even have museums in Tanzania?Vimiradi vya kitoto hivyo tulishaachana navyo.
Hiyo ndiyo Central bank?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila CBK ya Kenya ina jengo lingine. Haya piga hili basi. 🙂 🙂
View attachment 1993732View attachment 1993733
Sama boy 255 na NDINDA wanataka kulia.
but pia wee upate kujua kuwa hili building, Times Tower (140M) ndo pia Central Bank of Kenya,.. so si eti unatutishia nini sana... 👇🏽View attachment 1993721View attachment 1993722View attachment 1993723
Yes this is bank of Tanzania .. vipi umeridhika.?