Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haha.
Mnajaribu kuwakamua Acacia venye Nigeria ilifanya MTN.
Difference ni kwamba MTN is a giant company, na fine ya Nigeria ilikuwa 'only' $5 billion.
Hii yenu inaharibu tu reputation yenu in the business community.
basi tulia uone game linavoendelea hutoamini wazungu maisha yako yote
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Tumeshklia makontena ya dhahabu zaidi ya 277 yako bandarini wakatae kulipa tuyapige mnada alaf uone kama 190 billion usd haifiki......
Usifkiri tumekaa kimya wajinga😀😀😀

Makontena mengine ya mchanga wa dhahabu yanaswa | East Africa Television
Ile ni kamati ya raisi.bado inatakiwa kamati huru ambayo inaongozwa kwa uhuru na pia iwe na wajumbe pande zote.iyo ikipitisha kuwa kamati ya raisi ni wakweli ndio ucheke .
Lakin embu changamsha akili yako kwanini serikali haijawapa ripoti ya kamati acacia?wanakimbilia kuwapa bill huku wanasema wanaweza kukaa nao kwene mazungumzo?yaani ukae kwene mazungumzo na mwizi? Hapana hapa nahisi wanataka kuongwa maisha yaendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku ajira kwa sasa ni balaa. Majirani wanapangusa viti vya city park kukaa ili wapunguze stressView attachment 550943 View attachment 550943 View attachment 550944 View attachment 550945
Unajua nawapa pole sana hawa ndugu zetu
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 482 za kazi kwa waajiri mbalimbali kama ifuatavyo:

MASHARTI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.

i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania.

ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.

iii. Waombaji ambao tayari ni Watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti

na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa Waajiri wao na Waajiri wajiridhishe

ipasavyo.

iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe katika kichwa cha habari cha barua na juu ya bahasha,

kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.

v. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za

simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.

Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za

simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.

vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita

kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi

husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka au kupotea.

Maelezo zaidi:
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI | Ministry of Natural Resources and Tourism
 
remember Ugandans have cahins of experience with dictatorship,so they know it when they see it
Twende taratibu tu ndugu tutaelewana. This is latest news. Ya moto moto haijapoa
DFp8OfSXgAMcQgn.jpg:large


 
Hivi unadhani watalii wanakuja tu Tanzania bila sababu. Tuliza mshono wako. Kwenye Balancesheet ya Account yetu kwenye central Bank, Sehemu ya Debtors inasoma $190Billion Creditors is less than $2Billion.
Hebu piga Ratio za Balance sheet uone utamu wake sasa.
I see you think $200 bn ni kama Tzsh...let me convert them for you ndio angalau ufungue macho. that is 447,880,000,000,000.00 Tanzanian Shillings.
 
Is only three years my friend. You have independence since 1963. 2014 is 51yrs with 34%.
Nipatie muujiza uliofanyika hiyo miaka miwili (2015 and 2016) nakusubiri.
there is a project going on started recently called the last mile project...in 1 year they connected more than 1.5 Million new kenyans...are you aware?endelea kutuletea hapa stqtistics za Google, uliza watu on the ground..na Kenya power
 
I see you think $200 bn ni kama Tzsh...let me convert them for you ndio angalau ufungue macho. that is 447,880,000,000,000.00 Tanzanian Shillings.
My friend acha ujinga. Hivi unajua thamani ya dhahabu wewe?
Tembelea hii website ujue pure gold cost 1gram ya gold = $40
$40.26/gram

upload_2017-7-26_14-0-25.png


kilogram moja ni sawa na gram 1000.
Calculate 1000 x $40.26= ?
Tani moja ni sawa na 1000 kilogram

Sasa piga 1000 x 1000 x 40.26 how much?
Usidhani sisi hapa tunacheza we are serious.

Scrap Gold Calculator (Live Gold Price) - GoldCalc.com

Utaweza kupata calculation per gram
 
there is a project going on started recently called the last mile project...in 1 year they connected more than 1.5 Million new kenyans...are you aware?endelea kutuletea hapa stqtistics za Google, uliza watu on the ground..na Kenya power
Leta reference hapa. I don't need to google. You give me the reference yanini kuanza kuhangaika?
 
Hivi unadhani watalii wanakuja tu Tanzania bila sababu. Tuliza mshono wako. Kwenye Balancesheet ya Account yetu kwenye central Bank, Sehemu ya Debtors inasoma $190Billion Creditors is less than $2Billion.
Hebu piga Ratio za Balance sheet uone utamu wake sasa.
ajulie wapi huyo masuala ya ratio balance sheet
 
My friend acha ujinga. Hivi unajua thamani ya dhahabu wewe?
Tembelea hii website ujue pure gold cost 1gram ya gold = $40
$40.26/gram

View attachment 550958

kilogram moja ni sawa na gram 1000.
Calculate 1000 x $40.26= ?
Tani moja ni sawa na 1000 kilogram

Sasa piga 1000 x 1000 x 40.26 how much?
Usidhani sisi hapa tunacheza we are serious.

Scrap Gold Calculator (Live Gold Price) - GoldCalc.com

Utaweza kupata calculation per gram
I asked you a simple question acha kuniambia vitu najua, how much in profits have Acacia made since entry into Tz or for those 17 years.
ama una support ichoboy anasema kuna containers at the port worth 4 times your economy
 
Leta reference hapa. I don't need to google. You give me the reference yanini kuanza kuhangaika?
look bro i work at Stima Plaza for Kenya power,I am not in the last mile project department,i am in another department.so i know what I am saying. we work together, I'll see if i can get you data
 
Ile ni kamati ya raisi.bado inatakiwa kamati huru ambayo inaongozwa kwa uhuru na pia iwe na wajumbe pande zote.iyo ikipitisha kuwa kamati ya raisi ni wakweli ndio ucheke .
Lakin embu changamsha akili yako kwanini serikali haijawapa ripoti ya kamati acacia?wanakimbilia kuwapa bill huku wanasema wanaweza kukaa nao kwene mazungumzo?yaani ukae kwene mazungumzo na mwizi? Hapana hapa nahisi wanataka kuongwa maisha yaendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
yani mwizi akuletee kamati yake uisome alafu useme iko sawa yako wewe ulioiunda useme haifai basi mwaka huu kuna vilaza wengi sana....unatuonesha vile ulivo kiazi😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
I asked you a simple question acha kuniambia vitu najua, how much in profits have Acacia made since entry into Tz or for those 17 years.
ama una support ichoboy anasema kuna containers at the port worth 4 times your economy
unafkiri kwa akili yako hizo container zingekua hazina thamani wangetaka mazungumzo na tanzania
akili ndogo tu😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom