Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwenye aliileta forum ya Kenya ndiye alituhusisha.
Lakini sisi kama majirani wazuri, hatutaki mwende njia ya Zimbabwe alafu kuwa migrants huku Kenya kwa sababu ya uchumi wenu.
South Africa wameumia sana kwa sababu ya Mugabe. Ndio maana xenophobia imejaa huko.
lini kenya ikawa jirani mzuri kwa tanzania lini na wapi???????😀😀😀😀😀😀😀
watu wanaumia tanzania kudai pesa zake🙄🙄
 
Poit of correction. Hii siyo forum ya kenya ni ya Tanzania.
Pili issue zetu za kudai pesa zetu haziwahusu, pambaneni na mambo yenu.
Wewe mkenya tangu lini uwe na uchungu na tanzania zaidi ya watanzania!?
Are you stupid or something!? Tunakuza uchumi wetu. Yenu yamewashinda unarukia mambo ya Tanzania kama siyo upumbavu ni nini!?

Njaa inawaua, kipindupindu kinawaua, Nairobi is a largest slum in the planet.

Sasa unakuja kuimba nyimbo za wakikuyu hapa si ushenzi huo!?
 
Mwenye aliileta forum ya Kenya ndiye alituhusisha.
Lakini sisi kama majirani wazuri, hatutaki mwende njia ya Zimbabwe alafu kuwa migrants huku Kenya kwa sababu ya uchumi wenu.
South Africa wameumia sana kwa sababu ya Mugabe. Ndio maana xenophobia imejaa huko.

Acha ujinga huo dogo. You have nothing to do with Tanzania. You country is poor, you don't have source of income.

Mkalia uongo uongo tu na kupika data ili muweze kupata mikopo. Your days is numbered.
Tunajenga reli yetu kwa pesa zetu. Nyie mnashindwa kujenga hata 20km za barabara mnaomba msaada toka china. Si upumbavu huo. Halafu mnajiita DC.
 
Mwenye aliileta forum ya Kenya ndiye alituhusisha.
Lakini sisi kama majirani wazuri, hatutaki mwende njia ya Zimbabwe alafu kuwa migrants huku Kenya kwa sababu ya uchumi wenu.
South Africa wameumia sana kwa sababu ya Mugabe. Ndio maana xenophobia imejaa huko.
nyinyi wenyewe tu ardhi haiwatoshi...mlipochinjana 2007-8 katika ghasia za uchaguzi,wengi wenu mlikimbilia kuomba hifadhi arusha tanzania.
 
nyinyi wenyewe tu ardhi haiwatoshi...mlipochinjana 2017-8 katika ghasia za uchaguziuchaguzi,wengi kwenu mlikimbilia kuomba hifadhi arusha tanzania.

Hio ni politics.
Itakuwa aibu sana watanzania wafanye hivo hivo juu ya economy.
 
Hio ni politics.
Itakuwa aibu sana watanzania wafanye hivo hivo juu ya economy.
madini ni ya tz,wanaodiwa ni acacia.wewe mkenya masikini,mjinga na mpumbavu unayeishi makazi duni nairobi, unawashwa na nini?.
 
Acha ujinga huo dogo. You have nothing to do with Tanzania. You country is poor, you don't have source of income.

Mkalia uongo uongo tu na kupika data ili muweze kupata mikopo. Your days is numbered.
Tunajenga reli yetu kwa pesa zetu. Nyie mnashindwa kujenga hata 20km za barabara mnaomba msaada toka china. Si upumbavu huo. Halafu mnajiita DC.

Mnaenda bega kwa bega na North Korea kama nchi ambazo hazichukua ama haziwezi pewa loans.
Na huu ujinga wa 'kwa pesa yetu', itakuwa siku kuu mtakapo wacha kuringa.
Kama umesahau, wacha nikukumbushe kidogo.
Kenya has double Tanzanian budget
Kenya has double Tanzanian paved roads
Kenya has more power supply
Kenya has the greater GDP
Kenya has more foreign reserves
Kenya has the stronger currency
Tanzania has more people
Tanzania has larger land area

Kuna reasons mbili maskini huwa hachukui loans, na hii ndio husababisha yeye abaki maskini:
1. Hawezi pewa na benki.
2. Anadhani loans ni makosa.
 
84640ce455ec172f364afc1127585f45.jpg
 
madini ni ya tz,wanaodiwa ni acacia.wewe mkenya masikini,mjinga na mpumbavu unayeishi makazi duni nairobi, unawashwa na nini?.

Kama madini ni ya tz, na wanaodaiwa ni Acacia, mbona mlileta hii habari kwa section ya Kenya?
Jamiiforums kuna section ya maswala ya ndani ya Tanzania.
Na tafadhali tumia akili. Watu kama wewe ndio mnafanya dunia nzima idhani Tanzani ni nchi ya watu fukara kimawazo.
 
Mnaenda bega kwa bega na North Korea kama nchi ambazo hazichukua ama haziwezi pewa loans.
Na huu ujinga wa 'kwa pesa yetu', itakuwa siku kuu mtakapo wacha kuringa.
Kama umesahau, wacha nikukumbushe kidogo.
Kenya has double Tanzanian budget
Kenya has double Tanzanian paved roads
Kenya has more power supply
Kenya has the greater GDP
Kenya has more foreign reserves
Kenya has the stronger currency
Tanzania has more people
Tanzania has larger land area

Kuna reasons mbili maskini huwa hachukui loans, na hii ndio husababisha yeye abaki maskini:
1. Hawezi pewa na benki.
2. Anadhani loans ni makosa.
povuuu...
 
Hio ni politics.
Itakuwa aibu sana watanzania wafanye hivo hivo juu ya economy.
ulitaka tudai pesa zetu ili tulewe au???? sometimes ongea points
na tutakuza uchumi mtake msitake.. wazee wa kulease
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Kama madini ni ya tz, na wanaodaiwa ni Acacia, mbona mlileta hii habari kwa section ya Kenya?
Jamiiforums kuna section ya maswala ya ndani ya Tanzania.
Na tafadhali tumia akili. Watu kama wewe ndio mnafanya dunia nzima idhani Tanzani ni nchi ya watu fukara kimawazo.
tumeileta kwasababu JF is owned by a tanzanian.hata huko kwenye section zingine,bado wakenya mngeleta kiherehere chenu.
 
ulitaka tudai pesa zetu ili tulewe au???? sometimes ongea points
na tutakuza uchumi mtake msitake.. wazee wa kulease
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Dunia yote isipokuwa Watanzania wanaona kwamba Magufuli anaelekeza Tanzania njia ya Zimbabwe (economically), na madikteta wengine (politically).
 
Mnaenda bega kwa bega na North Korea kama nchi ambazo hazichukua ama haziwezi pewa loans.
Na huu ujinga wa 'kwa pesa yetu', itakuwa siku kuu mtakapo wacha kuringa.
Kama umesahau, wacha nikukumbushe kidogo.
Kenya has double Tanzanian budget
Kenya has double Tanzanian paved roads
Kenya has more power supply
Kenya has the greater GDP
Kenya has more foreign reserves
Kenya has the stronger currency
Tanzania has more people
Tanzania has larger land area

Kuna reasons mbili maskini huwa hachukui loans, na hii ndio husababisha yeye abaki maskini:
1. Hawezi pewa na benki.
2. Anadhani loans ni makosa.
My friend unaumia sana na Tanzania.
You don't have source of income my friend
Kwanza tunaanza na hapa:-
KENYA

upload_2017-7-26_10-47-28.png


Population bellow Poverty line 42%
Unemployment 38%


upload_2017-7-26_10-49-44.png



na bado deni linaongezeka.
Pambaneni na mambo yenu kwanza.
 
My friend unaumia sana na Tanzania.
You don't have source of income my friend
Kwanza tunaanza na hapa:-
KENYA

View attachment 550837

Population bellow Poverty line 42%
Unemployment 38%


View attachment 550838


na bado deni linaongezeka.
Pambaneni na mambo yenu kwanza.

Kenya GDP Per Capita - $1,455
Tanzania GDP Per Capita - $879

Hio ndio maana ya LDC.
 
Back
Top Bottom