Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante tanzania😀😀😀😀😀😀
Screenshot_20170726-085539.jpg
 
Bora wasije sio kuja kuiba na tumezuia makontena yao ya dhahabu zaidi ya 277 hahaha hebu imagine yana value ya how many usd billions?????
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Waache kulipa alaf waone sasa

Makontena mengine ya mchanga wa dhahabu yanaswa | East Africa Television

Nani anajaribu kuibia mwingine?
Acacia haijawai tengenzea pesa kama hio maishani mwake.
Kama ni market value, watahitaji kujiuza zaidi ya mara 200 ndio wafikishe hio pesa.
Kwanini mnazungushana? Si Magufuli awaambie tu watoke waende.
 
Nani anajaribu kuibia mwingine?
Acacia haijawai tengenzea pesa kama hio maishani mwake.
Kama ni market value, watahitaji kujiuza zaidi ya mara 200 ndio wafikishe hio pesa.
Kwanini mnazungushana? Si Magufuli awaambie tu watoke waende.
KAPUMZIKE USIFKIRI HIO NI BIASHARA YA MAUA😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Huu ndo ujinga waliokuwa wanasema wa Nigeria
Screenshot_2017-07-25-21-30-58.png
riding the train is a nice experience, it's so smooth, just glides on the rails... it's also super fast and since it's a smooth ride you won't realize how fast it is moving unless you look outside.not even a single private car can keep up with it's speed. way to go +254
 
Nani anajaribu kuibia mwingine?
Acacia haijawai tengenzea pesa kama hio maishani mwake.
Kama ni market value, watahitaji kujiuza zaidi ya mara 200 ndio wafikishe hio pesa.
Kwanini mnazungushana? Si Magufuli awaambie tu watoke waende.
Tulia. Issue za TZ kwanini zinakuwasha wewe mkenya.
Najiuliza kwanini nyie wakenya mnaumia sana!? Hatuwadai chochote, wanaodaiwa ni ACACIA inayodai ni Tanzania halafu wanaoumia wakenya. Si upumbavu huo.

Pambaneni na mambo yenu. Sisi tunapambana na issue zetu. Hatuna muda na mambo yenu endeleeni kuuza maua.
 
There revenue was roughly 1b USD in 2016...assuming a constant revenue of USD 1b for 17 years this is 17*1=17b .so total revenues for 17 years =17b....then a government full of foolish guys demands tax of USD 190b....hahhahahahahahahhahahhahahhahahhahhahahbahahahahhahahahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahha ......continue proving to the world how stupid you're
3e95279409c18ad42e397a1701f168bc.jpg


sent from iPhone 7
naona wakenya mmegeuka kuwa watetezi wa acacia....hahahaha... njaa kitu mbaya sana.
 
Nani anajaribu kuibia mwingine?
Acacia haijawai tengenzea pesa kama hio maishani mwake.
Kama ni market value, watahitaji kujiuza zaidi ya mara 200 ndio wafikishe hio pesa.
Kwanini mnazungushana? Si Magufuli awaambie tu watoke waende.
wewe ni msemaji wa acacia?...wakenya mnaufala sana....
 
wewe ni msemaji wa acacia?...wakenya mnaufala sana....
Hawa jamaa sijui akili zao zipo sawa. Yaani inashangaza sana issue ni ya Tanzania na ACACIA sasa sijui kinachowauma ni nini.
 
Tulia. Issue za TZ kwanini zinakuwasha wewe mkenya.
Najiuliza kwanini nyie wakenya mnaumia sana!? Hatuwadai chochote, wanaodaiwa ni ACACIA inayodai ni Tanzania halafu wanaoumia wakenya. Si upumbavu huo.

Pambaneni na mambo yenu. Sisi tunapambana na issue zetu. Hatuna muda na mambo yenu endeleeni kuuza maua.
maua siku hzi hayana soko hahahaha😀😀😀😀😀😀
 
Tulia. Issue za TZ kwanini zinakuwasha wewe mkenya.
Najiuliza kwanini nyie wakenya mnaumia sana!? Hatuwadai chochote, wanaodaiwa ni ACACIA inayodai ni Tanzania halafu wanaoumia wakenya. Si upumbavu huo.

Pambaneni na mambo yenu. Sisi tunapambana na issue zetu. Hatuna muda na mambo yenu endeleeni kuuza maua.

Mwenye aliileta forum ya Kenya ndiye alituhusisha.
Lakini sisi kama majirani wazuri, hatutaki mwende njia ya Zimbabwe alafu kuwa migrants huku Kenya kwa sababu ya uchumi wenu.
South Africa wameumia sana kwa sababu ya Mugabe. Ndio maana xenophobia imejaa huko.
 
Mwenye aliileta forum ya Kenya ndiye alituhusisha.
Lakini sisi kama majirani wazuri, hatutaki mwende njia ya Zimbabwe alafu kuwa migrants huku Kenya kwa sababu ya uchumi wenu.
South Africa wameumia sana kwa sababu ya Mugabe. Ndio maana xenophobia imejaa huko.
Poit of correction. Hii siyo forum ya kenya ni ya Tanzania.
Pili issue zetu za kudai pesa zetu haziwahusu, pambaneni na mambo yenu.
Wewe mkenya tangu lini uwe na uchungu na tanzania zaidi ya watanzania!?
Are you stupid or something!? Tunakuza uchumi wetu. Yenu yamewashinda unarukia mambo ya Tanzania kama siyo upumbavu ni nini!?

Njaa inawaua, kipindupindu kinawaua, Nairobi is a largest slum in the planet.

Sasa unakuja kuimba nyimbo za wakikuyu hapa si ushenzi huo!?
 
Back
Top Bottom