Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

South Africa yearly gold revenue(largest in Africa,)= $ 4 b
Tanzania 270 containers=over $ 190 b
Ujinga ya kuzaliwa ni real

sent from iPhone 7
Wewe dogo naona umeanza kuwa kichaa kidogo. Unavizia usiku tumelala unakuja kujaza server yetu ya TZ kwa mashudu yako.
Pesa tunadai sisi kinacho kuwasha ni nini!?
Since 1999 wamekuwa wakidanganya na kukwepa kodi. Sasa piga hesabu ni miaka mingapi!?
Halafu usitulinganishe na SA, Tanzania kwa upande wa dhahabu ipo juu.

Halafu nyie maskini tunawapa kichwa sana.
Hivi nyie wakenya mnalolote la kujitapa juu ya TZ. Tunawapa only 5 years. Hamna chochote cha kisema juu ya Tz. Kama mafuta tanzania yapo yamejaa. Nyie ni maskini Tanzania ni tajiri. Mnapika data na kutoa za uongo.
 
Wewe dogo naona umeanza kuwa kichaa kidogo. Unavizia usiku tumelala unakuja kujaza server yetu ya TZ kwa mashudu yako.
Pesa tunadai sisi kinacho kuwasha ni nini!?
Since 1999 wamekuwa wakidanganya na kukwepa kodi. Sasa piga hesabu ni miaka mingapi!?
Halafu usitulinganishe na SA, Tanzania kwa upande wa dhahabu ipo juu.

Halafu nyie maskini tunawapa kichwa sana.
Hivi nyie wakenya mnalolote la kujitapa juu ya TZ. Tunawapa only 5 years. Hamna chochote cha kisema juu ya Tz. Kama mafuta tanzania yapo yamejaa. Nyie ni maskini Tanzania ni tajiri. Mnapika data na kutoa za uongo.
91793edbd36e06d09c9726b483819b30.jpg


sent from iPhone 7
 
Deni yao 17 years na revenue yao yearly tz haifiki USD 1 b...sasa taxes utataka USD 190 lol

sent from iPhone 7
Kidai pesa zetu inakuuma sana siyo!? Sasa tumeshadai kama vipi jinyonge. We know what we are doing. Wale wanaowatetea wezi tunawafinya taratibu. Hizo ni pesa zetu sio za kenya dogo.
Sasa hivi media zenu zinaongelea issues za TZ kila siku. Huku media zetu zikiongelea issue zetu maana hakuna cha maana huko kwenu.
 
Wewe dogo naona umeanza kuwa kichaa kidogo. Unavizia usiku tumelala unakuja kujaza server yetu ya TZ kwa mashudu yako.
Pesa tunadai sisi kinacho kuwasha ni nini!?
Since 1999 wamekuwa wakidanganya na kukwepa kodi. Sasa piga hesabu ni miaka mingapi!?
Halafu usitulinganishe na SA, Tanzania kwa upande wa dhahabu ipo juu.

Halafu nyie maskini tunawapa kichwa sana.
Hivi nyie wakenya mnalolote la kujitapa juu ya TZ. Tunawapa only 5 years. Hamna chochote cha kisema juu ya Tz. Kama mafuta tanzania yapo yamejaa. Nyie ni maskini Tanzania ni tajiri. Mnapika data na kutoa za uongo.
Haha KRA inacollect tax ya USD 14b ebu leta figures za TRA tujue nani maskini

sent from iPhone 7
 
91793edbd36e06d09c9726b483819b30.jpg


sent from iPhone 7
Hao wanaoshabikia wazungu tunawafinya taratibu. Sisi tunaongelea taarifa halali. Hizo za kwenye Twitter tunawaachia nyie wakenya mbumbumbu. Sisi tunadai pesa zetu na lazima wazilipe. Dunia nzima imeelewa na kuona hao jamaa ni wezi. They must pay. Hivi unadhani tunatania siyo!? Hizi ni international politics wewe mshamba wa kibera utajulia wapi!?
 
Hao wanaoshabikia wazungu tunawafinya taratibu. Sisi tunaongelea taarifa halali. Hizo za kwenye Twitter tunawaachia nyie wakenya mbumbumbu. Sisi tunadai pesa zetu na lazima wazilipe. Dunia nzima imeelewa na kuona hao jamaa ni wezi. They must pay. Hivi unadhani tunatania siyo!? Hizi ni international politics wewe mshamba wa kibera utajulia wapi!?
Hana akili huyo alaf wivu unamsumbua 😀😀
 
Haha KRA inacollect tax ya USD 14b ebu leta figures za TRA tujue nani maskini

sent from iPhone 7
Dogo isikuume sana. Sisi tunaju huko kwenu data zinapikwa. Ndio maana sasa kenya haikopesheki toka world bank. Nchi yenu haina source za income. Nchi yenu inahesabika ni kama wachuuzi au machinga. Hakuna source ya income ya kuekeweka mnatumia uongo na kudanganya. Kwenye utalii mlidanganya sana. Sasa hivi mbivu na mbichi zinaonekana.

Tutaelewana tu wewe uwepo tu hapa JF usikimbie
 
Hao wanaoshabikia wazungu tunawafinya taratibu. Sisi tunaongelea taarifa halali. Hizo za kwenye Twitter tunawaachia nyie wakenya mbumbumbu. Sisi tunadai pesa zetu na lazima wazilipe. Dunia nzima imeelewa na kuona hao jamaa ni wezi. They must pay. Hivi unadhani tunatania siyo!? Hizi ni international politics wewe mshamba wa kibera utajulia wapi!?
There revenue was roughly 1b USD in 2016...assuming a constant revenue of USD 1b for 17 years this is 17*1=17b .so total revenues for 17 years =17b....then a government full of foolish guys demands tax of USD 190b....hahhahahahahahahhahahhahahhahahhahhahahbahahahahhahahahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahha ......continue proving to the world how stupid you're
3e95279409c18ad42e397a1701f168bc.jpg


sent from iPhone 7
 
There revenue was roughly 1b USD in 2016...assuming a constant revenue of USD 1b for 17 years this is 17*1=17b .so total revenues for 17 years =17b....then a government full of foolish guys demands tax of USD 190b....hahhahahahahahahhahahhahahhahahhahhahahbahahahahhahahahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahha ......continue proving to the world how stupid you're
3e95279409c18ad42e397a1701f168bc.jpg


sent from iPhone 7
Hao walikua wana run 3 minings in tanzania
So wamekwepa kodi 17 yrs 😀😀😀😀
Usiumie bure utapasuka
 
There revenue was roughly 1b USD in 2016...assuming a constant revenue of USD 1b for 17 years this is 17*1=17b .so total revenues for 17 years =17b....then a government full of foolish guys demands tax of USD 190b....hahhahahahahahahhahahhahahhahahhahhahahbahahahahhahahahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahha ......continue proving to the world how stupid you're
3e95279409c18ad42e397a1701f168bc.jpg


sent from iPhone 7
Mbona inakuuma sana sisi kudai deni letu!? Wewe umekuwa msemaji wa Barick Gold Mining na ACACIA!? President wa company alikuja na kusema watalipa. Sasa wewe kidampa cha kibera utajulia wapi hayo!?

Hizo ni pesa zetu wamekwepa kodi. Tunataka TZ iwe kama UK. Wewe kitu wala hukijui unapiga kelele badala ya kututia moyo ili tupambane na huu ukoloni mambo leo.

Sisi ni waafrika, baada ya Tanzania kufanikiwa katika hili nchi nyingi za kiafrika zitakuwa huru. Haya ni mapambano yetu. Kama unatuunga mkono karibu kama hutaki jiunge na wazungu tukupikie chungu kimoja nao.

Kwani sisi hatutaki miji yetu iwe kama London!? Kwani hatutaki kuishi kwa raha!? Je, unadhani tunapenda kuvaa mitumba na kutukanwa huku tukisimangwa na wazungu.

Wakeup bro smell the coffee. Usijiondoe ufahamu.
This is international politics. Ndio utakuja kujua baadae maana ya jambo hili.

Bado kuna mgodi wa Williamson wa Diamond since 1950 government haijapata dividend. Piga hesabu na hiyo.

Tayari speaker wa bunge ameunda kamati kufuatilia huo mgodi. Wewe tulia tu utaona. Nyie ni wazee wa GDP sisi tunajenga reli kwa pesa yetu.
 
Mbona inakuuma sana sisi kudai deni letu!? Wewe umekuwa msemaji wa Barick Gold Mining na ACACIA!? President wa company alikuja na kusema watalipa. Sasa wewe kidampa cha kibera utajulia wapi hayo!?

Hizo ni pesa zetu wamekwepa kodi. Tunataka TZ iwe kama UK. Wewe kitu wala hukijui unapiga kelele badala ya kututia moyo ili tupambane na huu ukoloni mambo leo.

Sisi ni waafrika, baada ya Tanzania kufanikiwa katika hili nchi nyingi za kiafrika zitakuwa huru. Haya ni mapambano yetu. Kama unatuunga mkono karibu kama hutaki jiunge na wazungu tukupikie chungu kimoja nao.

Kwani sisi hatutaki miji yetu iwe kama London!? Kwani hatutaki kuishi kwa raha!? Je, unadhani tunapenda kuvaa mitumba na kutukanwa huku tukisimangwa na wazungu.

Wakeup bro smell the coffee. Usijiondoe ufahamu.
This is international politics. Ndio utakuja kujua baadae maana ya jambo hili.

Bado kuna mgodi wa Williamson wa Diamond since 1950 government haijapata dividend. Piga hesabu na hiyo.

Tayari speaker wa bunge ameunda kamati kufuatilia huo mgodi. Wewe tulia tu utaona. Nyie ni wazee wa GDP sisi tunajenga reli kwa pesa yetu.
Haha walisema wapi watalipa??? Yani TRA inataka kufurahisha magufuli na uwongo

sent from iPhone 7
 
Mtategea hio pesa hadi kifo

sent from iPhone 7
Bahati nzuri nimekuambia usikimbie hapa JF.
Nyie maskini maskini mnasumbua sana. Sisi TZ hatuna mawazo mgando kama yenu kule. Mmezoea kupigwa endeleeni kuibiwa.
We are doing international politics ambazo nyie hamziwezi zaidi ya kuongea uongo.
Bado Williamson Diamond mining. Kuna dividend yetu ya zaidi ya miaka 50. Na hapo piga hesabu kuna pesa yetu.
Kenya haina source ya income ndio maana sasa hivi inapigwa ban kukopa. Sijui mtafanya nini sasa. Hatutaki kuungana na nyie mtatubebesha mizigo ya matatizo yenu.
Pambaneni na hali yenu.
 
Back
Top Bottom