Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimeishi Nairobi zaidi ya 10 years. Ni kweli Nairobi wametuzidi kimiundo mbinu ya barabara. Network ya barabara ya mjini iko very beautiful and smart.

Dsm, well tunakomaa. Hatuko vibaya. Kuna sekta tupo vizuri sana. Reli ya SGR ikimalizika nadhani tutaweza kuvimba kidogo. Network ya UDART nayo ni interesting hasa hizi njia mpya zinazofunguliwa.

Kwa majengo we have no doubt about dsm. well, I can say tuko 50 50 na Nrb. Thanks to NSSF wanaojenga migorofa mirefu na yenye ubora flani.

Social amenities kama vile tuko 50 50. Japo waTz hatujui kujivunia vyetu. MNH na facilities zinazoanzishwa pale ni kipengele. Nairobi pia they have incredible hospitals.

Malls za DSM zipo classic japo business ya supermarkets dsm haikui kulingana na culture yetu waTz. Ukweli ni kwamba Nairobi wametuzidi kwa huduma ya supermarkets. We can brag with malls around ila bado hatuwezi compare na Nairobi.

Hatuna game reserves ndani ya jiji la Dsm kama Nairobi. Advantage yetu ni coastline ambayo inatufanya tuvimbe kidogo na coral and marine life along. Sure, Kuna kigamboni connectivity ya ferry. Nairobi hawana.

Nairobi kuna expensive places kama Lavington, Kileleshwa, Langata n.k hata DSM zipo. Masaki Oyestrbay na Avic Town ni places za kujivunia.

Just in t kama nimesahau au kuzidisha kitu. I stand to be corrected.
Huyu ni Mkenya anayejifanya Mtanzania hahahaa.
 
kuna watu wamechukulia ukimya wangu na kutaka kufanya wanayotaka kufanya wao by Samia.. Hao wawili TRC na PPRA ni wanaselele tu wanacheza ngoma wanazopiga wenyewe.. Decisive order ipo kwa Waziri Mbarawa (now), then Cabinet then Rais.
Sioni tatizo kwann Yapi Merkezi aogope open tendering! Mtoto wa Kiislam Asipende vya kunyonga! Ni haram!! Otherwise anataka kutupiga!! Nimependa sana idea ya ku-combine LOT3 na LOT4! Yaani inampa mkandarazi room to manouvre na kumpa hauweni pia kibiashara na pia kutupa sie room to negotiate lower costs in sincerity! Yaani one for all ukileta tamaa imekula kwako! 😅 😅 😅 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️
 
Naona Mercedes Benz ya Garissa sio!
2928306_IMG_20210915_143941.jpg
Hyo ni youtong
 
Naanza kumuelewa mama she is trying to be more safer while being strategic!




MY TAKE
Wakina Simon mvumilieni tu! Ni siasa...!
 
kuna shida kubwa kwenye hii ishu ya Lot 3&4 SGR
more papers
View attachment 1938722
View attachment 1938723

huyu kadogosa ajiangalie.. kama ana support ya mama atabaki, otherwise atafekwaView attachment 1938746
View attachment 1938741
View attachment 1938742

hapa kuna taasisi mbili zinashindana.. mmoja anafuata sheria mwingine hafuati sheria/utaratibu
Sheria ya manunuzi ya uma inaruhusu both competitive bidding na single source procurement it depends na situation on the ground even me I would favour Yapi Merkez kwasababu quality ya kazi yao nineiona, pia consultant wake Korail tunafanya kazi nae pia mobilisation period itakuwa ndogo cause wako established hapa na pia to avoid technological differences ambayo itasaidia kupunguza gharama kwenye servicing ya hii infrastructure.
 
Sheria ya manunuzi ya uma inaruhusu both competitive bidding na single source procurement it depends na situation on the ground even me I would favour Yapi Merkez kwasababu quality ya kazi yao nineiona, pia consultant wake Korail tunafanya kazi nae pia mobilisation period itakuwa ndogo cause wako established hapa na pia to avoid technological differences ambayo itasaidia kupunguza gharama kwenye servicing ya hii infrastructure.
Both side wanahoja, personally I would prefer Yerpi.. Kwa Maoni yangu wasiowataka Yerpi ndio wanafasi kubwa ya kuwa wamepokea Rushwa either ya Wachina or Watu wengine
 
Mbona inafanana na buses za country bus?😂😂😂. This is the worst picture I have seen today.
Nyinyi mmezoea vitu vya hivi👇👇👇👇
Huwez kubali kuwa bado mpo chini😀😀😀
 
Nimeishi Nairobi zaidi ya 10 years. Ni kweli Nairobi wametuzidi kimiundo mbinu ya barabara. Network ya barabara ya mjini iko very beautiful and smart.

Dsm, well tunakomaa. Hatuko vibaya. Kuna sekta tupo vizuri sana. Reli ya SGR ikimalizika nadhani tutaweza kuvimba kidogo. Network ya UDART nayo ni interesting hasa hizi njia mpya zinazofunguliwa.

Kwa majengo we have no doubt about dsm. well, I can say tuko 50 50 na Nrb. Thanks to NSSF wanaojenga migorofa mirefu na yenye ubora flani.

Social amenities kama vile tuko 50 50. Japo waTz hatujui kujivunia vyetu. MNH na facilities zinazoanzishwa pale ni kipengele. Nairobi pia they have incredible hospitals.

Malls za DSM zipo classic japo business ya supermarkets dsm haikui kulingana na culture yetu waTz. Ukweli ni kwamba Nairobi wametuzidi kwa huduma ya supermarkets. We can brag with malls around ila bado hatuwezi compare na Nairobi.

Hatuna game reserves ndani ya jiji la Dsm kama Nairobi. Advantage yetu ni coastline ambayo inatufanya tuvimbe kidogo na coral and marine life along. Sure, Kuna kigamboni connectivity ya ferry. Nairobi hawana.

Nairobi kuna expensive places kama Lavington, Kileleshwa, Langata n.k hata DSM zipo. Masaki Oyestrbay na Avic Town ni places za kujivunia.

Just in t kama nimesahau au kuzidisha kitu. I stand to be corrected.
Umeshakunya mavi kwa mfuko leo au bado?
 
Mkuu ukilinganisha Vituo vya daladala, Nairobi wanatumia namba kutambua routes zao. Mfano route 134. DSM hata sijui tunatumia nini ila zaidi rangi ambazo pia zipo Nrb na barabara mfano Pugu road.

All in all we are almost the same. Daladala za Nairobi nyingi ziko pimped na mziki mnene. Kuna routes DSM hautamani kupanda hizo daladala. Nenda route ya Gerezani-MwanaGati
Nimekuuliza umeshakunya mavi kwa mfuko?
 
Back
Top Bottom