Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kiwanja kikubwa ila kinatia aibu aisee, bora hata wangejenga kidogo na kiwe bomba! [emoji16]
CCM kirumba hii hapa, yule mbwa alikuonesha picha moja wakati wa ukarabati[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20210829-213309.jpg
Screenshot_20210829-213325.jpg
 
Alafu hii hapa ni Taifa, ni uwanja namba mbili kwa ubora Tz, tunauita shamba la bibi, hata Kasarani haiwezi kufikia standards hizi [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20210829-213404.jpg
 
Na huu ndio uwanja mkubwa na wa kisasa zaidi East and Central Africa, upo Kenya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
image_downloader_1630263195036.jpg
image_downloader_1630263265468.jpg
 
Back
Top Bottom