Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20210829-184816~2.png
Screenshot_20210829-184449~2.png




Still the main regional wood supplier!
 
The fact that you're comparing your CBD to our estate tells everything. Dar can never have such well planned estates. Anyway, Dar is all CBD. I can post a photo of any place in Nairobi - Syokimau, Muthaiga, Kilimani, Donholm, Langata - anywhere and the rebuttal I'll get from a Tanzanian is always the CBD.
Your blindness your problem, so dont try to force me to unblind you...
 
Uko sahihi. Lakini ni wazi watu hawamuogopi mama ba serikali yake.

Sirro kambip mkuu wake wa kazi openly. Pia ukumbuke waziri wa afya aliagiza Askofu Gwajima kukamatwa, unakumbuka nini walijibu.

Hii nchi yetu wote na tunaipenda sana. Nafahamu wewe ni Mzalendo wa kweli na umejitoa sana kwa nchi hii ingawa wengi hawatambui hili.

Lazima tukubali, mama amepyaya sana. Anahujumiwa, anajibiwa openly.

Kuna angemjaribu Mgufuli kiasi hiki😂😂

Angalia sakata la kina Bashe. Waziri anasema hivi na mkuu wa mkoa anafanya hivi😂

Hao wote wawili angekula vichwa mapema tu, saa nne aksubuhi.
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom