Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna watu kwenye serikali hii wanahujumu makusudi kabisa cz wanajua mama hana taarifa na wala hawezi kuwa nazo na hata akiwa nazo hajui pakuanzia, kuna mambo yanafanyika unaona kabisa hizi hujuma za kumtoa huyu mama 2025.
Huyo mama ni HASARA KWA TAIFA dawa ni kupiga chini wanawake wote kwenye uongozi bora tuminyane pumbuuu wanaume kwa wanaume kuliko huyu
 
The price tag on this building left me in shock as it is very cheap a precursor to disaster in the near future. Comments welcome but ziwe fupi fupi.

The Progress of The Upcoming Tallest Residential Building in Africa Located in Kenya

Kevin.d

Aug 26, 2021 3:13 PM

[https://res]

The 88 Nairobi Condominium tower is a building which is currently under construction in Nairobi and upon completion it is set to be the tallest residential building not only in Kenya but in the whole of Africa, it is owned by Johnson Jonathan who is a Kenyan business man who also owns Nairobi City Stars.

The building construction is now at the 8th floor meaning it is moving in a very high speed than it was expected by many, upon completion it is expected to have a height of around 218 meters from the ground meaning it will overtake the Britam tower which is currently the tallest building in Kenya.

The building is predicted to cost a total of around 4 billion Kenya shillings which is some how smaller than what was expected by many, it is expected to be fully completed by the start of next year and officially start accommodations by mid next year.




Screenshot_20210826-212512_Opera.jpg
 
Tanzania 🇹🇿 kuna mfumo unaitwa Jeshi la Kujenga Taifa(JKT).

Vijana wanapatiwa mafunzo thabiti ya...

•Nidhamu(vijana wanakua na nidhamu ni mwendo wakufuata order... yaani hapa hata ianzishwe kodi ya uvutaji hewa(Oxygen) huta sikia maadamano.)

•Uzalendo(moja ya sababu ya mshikamano wa watanzania...Tanzania hakuna chuki ya kimakabila huku ni full shangwe tunaitana watani na utani tunaotaniana huku Tz ingekuwa ni Kenya tungesikia kuwa Kenya kuna genocide.

Ukakamavu(Usalama, Combat karete, mbinu za kivita, uvumilivu na matumizi ya silaha).

•Ujasiliamali(shughuli mbalimbali za uzalishaji mali).

Hoja yakusema ana - skills na Anaji-position kijemedari kwa Tanzania haiwezi kuhitimisha moja kwa moja kuwa ni gaidi, ingawaje inawezekana. Vijana wengi tumeiva huku Tz.

Tofauti yetu sisi na Israel 🇮🇱 ni Israel wanapewa mafunzo raia wote(fit) while in Tanzania wanapewa baadhi kimkakati zaidi.
Huyo jamaa alikuwa msomali??
 
Mlisema huyu ni mfuasi dhabiti wa JPM! Nikawa nawaangalia tu....!
Siyo kuwa anajuwa kula na kipofu?
Kuna watu kwenye serikali hii wanahujumu makusudi kabisa cz wanajua mama hana taarifa na wala hawezi kuwa nazo na hata akiwa nazo hajui pakuanzia, kuna mambo yanafanyika unaona kabisa hizi hujuma za kumtoa huyu mama 2025.
Yaani kila mtu anaota sharubu sasa
 
Alafu jana nmecheki kuna ule mradi wa stendi mwanza umesimama kwa kukosa fedhaa, maza yupo bize na kutalii nchhi za watu
Mama kaua uchumi makusanyo yameshuka kwa nusu sasa wanatumia mbinu za tozo na kuchapa pesa na kukopa
 
Back
Top Bottom