Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi





MY TAKE
JPM angekuwapo angelazimisha Mtanzania kupewa hii nafasi! Ila bora kuliko hawa majirani wa kaskazini!
Na huu ufalamanga wao wa haya makampuni ya kigeni kuchagua watu wa nje kuwa nafasi za juu ilihali hapa nyumbani kuna wasomi wakubwa wanaoteuliwa kuongoza mpk mashirika ya kimataifa hauwezi kuisha, JPM pekee ndio alikuwa anawaweza hawa cz wana kasumba mby sn waliyowekwa kwenye mabichwa yao, hata ukienda Kenya ma CEO wengi wa kampuni kubwa kule co Wakenya cjui kwnn huu mchezo.
 




Screenshot 2021-08-25 220042.png
 
Na huu ufalamanga wao wa haya makampuni ya kigeni kuchagua watu wa nje kuwa nafasi za juu ilihali hapa nyumbani kuna wasomi wakubwa wanaoteuliwa kuongoza mpk mashirika ya kimataifa hauwezi kuisha, JPM pekee ndio alikuwa anawaweza hawa cz wana kasumba mby sn waliyowekwa kwenye mabichwa yao, hata ukienda Kenya ma CEO wengi wa kampuni kubwa kule co Wakenya cjui kwnn huu mchezo.
We upo dunia gani mzee..huo upuuzi unapatikana sana sana katika nchi za wazembe km vile tz
 
Wakukurupuka huyooo, leo kapata bundle so asomi, aulizi na wala hana muda huo, yeye ni replies tu
Ukweli ni kwamba jamaa katembea more than 100m kwn video sikuona mzee..hapa emojis hazitakusaidia na lolote lile..
Ukweli mchungu sio
 

yaani Giza lazima utafute something bad about Kenya whether or not it has anything to do with Kenya 😂😂😂😂
a bomb goes off in a random country like afghanistan and you are looking for tweets linking kenya and that bombing 😂😂😂😂🤣🤣 i hope someone notices your hate effort and pays you bruh, you really put in effort no kidding lol 😂🤣🤣🥲
 
Kuna mjinga mmoja eti kasema leo ndio nimepata bando The best 007 we unafikiria hivi vi emojis vya hapa jf ndio vita determine future yako mzee..
Au ndoto yako wewe imeishia uswazi middle class..
Fanya kazi mzee jf sio ya mama yako
 
yaani Giza lazima utafute something bad about Kenya whether or not it has anything to do with Kenya 😂😂😂😂
a bomb goes off in a random country like afghanistan and you are looking for tweets linking kenya and that bombing 😂😂😂😂🤣🤣 i hope someone notices your hate effort and pays you bruh, you really put in effort no kidding lol 😂🤣🤣🥲
Nilimnusa kitambo sana tikeli zake huyo braza Geza, yaani sijui hii nchi yetu ikipotea ghafla kwenye ramani ya dunia, ataishije huyo dogo, sio kuwashwa huko. Chimba chimba, ilimradi apate tope la kupaka kudadadeki!
Mkulungwa wa ISIS kafanya yake huko kwao, yeye mbio kujiliwaza na comments za watu ambao hata hana clue ni wabongo au wakenya. Duh, serikali au jf impe kazi! 🤣 🤣 🤣
 




MY TAKE
JPM angekuwapo angelazimisha Mtanzania kupewa hii nafasi! Ila bora kuliko hawa majirani wa kaskazini!

Wapi, JPM kazi yake ilikua kukazia Mkenya sio kuweka Mtanzania otherwise mbona kapewa Mmisri baadala ya Mtanzania baada ya kukazia Mkenya?
 
Na huu ufalamanga wao wa haya makampuni ya kigeni kuchagua watu wa nje kuwa nafasi za juu ilihali hapa nyumbani kuna wasomi wakubwa wanaoteuliwa kuongoza mpk mashirika ya kimataifa hauwezi kuisha, JPM pekee ndio alikuwa anawaweza hawa cz wana kasumba mby sn waliyowekwa kwenye mabichwa yao, hata ukienda Kenya ma CEO wengi wa kampuni kubwa kule co Wakenya cjui kwnn huu mchezo.
Usijiweka na Wakenya wee Mwehu. Ndio hizi kampuni kumi kubwa Kenya zilizo na hisa zaidi ya 30% foreign ownership CEO wake.
1. Safaricom - Peter Ndegwa - Mkenya
2. EABL - Jane Karuku - Mkenya
3. Isuzu East Africa - Rita Kavashe - Mkenya
4. Kenya Airways - Allan Kilavuka - Mkenya
5. Absa Kenya - Jeremy Awori - Mkenya
6. Nation Media Group - Stephen Gitagama - Mkenya
7. Britam Kenya - Benson Wairegi - Mkenya
8. Total Kenya - Olagoke Aluko
9. Toyota Kenya - Arvinder Singh Reel - Mkenya
10. Unilever Kenya - Luck Ochieng - Mkenya

Usidhani sisi ni vilaza kama nyie mlivyolalia masikio huko chini.
 
Back
Top Bottom