The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Ona uchafu huu, yani nchi nzima ni mimavi kushoto kulia, hakuna ustaarabu kabisa, shule ndo hawataki cz waliambiwa wakijifunza broken English wamemaliza, ona [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]By the way it was 2017 . Nakuambia Dar huwezi kuta uchafu kama ule ulionekana kwenye ile brigde ya wapita kwa miguu huko kwenu. Ndio mnahimizwa msinye nje. It's a big shame hata paka akinya anafukia
Courtesy: Shebby01