Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Something amazing😍😍😍🤗
IMG_20210822_193716.jpg
 
hii ilikua ni battle eti ya NAIROBI vs JB NDINDA njoo uone kilichomkuta jirani, kumbe hawa wa south wanawachora tu hawa mbuzi View attachment 1903553View attachment 1903555oya bro The best 007 naomba usave hiz kwa matumizi ya baadae, Don YF Coco reborn Tony254 Simba 254 njooni uku kuna ujumbe wenu

Eti kuna kitu wanajiita sijui nini Rich square mile kama Sandton in Gauteng, mmamae mtaa mmoja tu wa Windhoek Namibia na Jangwa lote hilo hamna panya wa East Africa anajitokeza .
 

Kenyans are savages, dont mess with us😂😂😂View attachment 1903567

South africans down😂😂😂View attachment 1903574
Kenya kujilinganisha na South ni upumbavu uliopitiliza kiwango, kuna kama nchi tatu hapa Africa ambazo hatutakiwi kujilinganisha Azo kabisa kwasababu vitu tunavyohangaika navyo kuvifanya leo wao walishavifanya kitambo.. hizi Egypt, South na Morocco hizi ni nchi za viwango vya dunia .. tuziache kama zilivyo zipo kwenye legue yao
 
Kenya kujilinganisha na South ni upumbavu uliopitiliza kiwango, kuna kama nchi tatu hapa Africa ambazo hatutakiwi kujilinganisha Azo kabisa kwasababu vitu tunavyohangaika navyo kuvifanya leo wao walishavifanya kitambo.. hizi Egypt, South na Morocco hizi ni nchi za viwango vya dunia .. tuziache kama zilivyo zipo kwenye legue yao
Nchi tangu mwaka 60 zina flyover, japo kuna nchi unaweza kupambana nazo kimtindo mfano SA kwa kuwaambia nyie ni wajinga na wazembe, vitu vyote mnavyolingia hamjajenga nyie bali ni wazungu, kukosa wazungu nchi yenu ingekuwa hovyo sn, lakini co Egypt ya Faraoh mkuu
 
Nchi tangu mwaka 60 zina flyover, japo kuna nchi unaweza kupambana nazo kimtindo mfano SA kwa kuwaambia nyie ni wajinga na wazembe, vitu vyote mnavyolingia hamjajenga nyie bali ni wazungu, kukosa wazungu nchi yenu ingekuwa hovyo sn, lakini co Egypt ya Faraoh mkuu
😂😂😂 Ila bro unachekesha sana wewe .. hayo mashindano ya kimtindo yameniacha hoi, eti "kushindananao kimtindo" 😂😂, hizo nchi zimeendelea sana alaf ni kitambo, suala la eti jirani waponao level moja kimaendeleo ni upumbavu wa kupita maelezo, hiv unawezaje kushindana na nchi imewahi ku host kombe la dunia.? Ikiwa wew huna facility za kuweza ku'host hata AFCON.? That's stupidity .. wakunya ni waongo sana wazee wa kuongeza namba ili na wao waonekane wamba, wanajitiatia kama ushuzi wa ngomani 😂😂😂
 
Back
Top Bottom