Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkiambiwa ukweli mnasema ni wivu[emoji23][emoji23][emoji23], construction ya hiyo project ikianza unitag just the same way nilikuambia ujenzi wa EACOP pia ikianza unitag[emoji23][emoji23][emoji1787]
Unajisikiaje!![emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Screenshot_20210819-202828.jpg
Screenshot_20210819-202902.jpg
Screenshot_20210819-203001.jpg
 
Leo pamewaka humu ndani, kuna mtu katolewa sadaka wenzake wanachungulia tu wanaona maji mazito [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kenya ni nchi ya kipumbavu sn na raia wake wote ni wapumbavu mno, yn nchi ina uhaba wa electricity, umeme unakatika mpk Ikulu lkn foreigners wanajenga mitaro ya kumwagilizia maua yao wapeleke ulaya hawa mbwa humu wanashangilia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ona mitaro ya mavi [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1898540View attachment 1898541
Sasa mumeanza kulia mapema kabla hatujaanza ukulima. Naona wakulima wa nji jirani ya kipumbafu wakibaki maskini milele. Vyakula vyenu mtabaki nazo.The future of Agriculture in Kenya looks promising 😍😍
 
Win win situation wimbo wenyu, Usisahau!
Mambo ya Tanzania tuachie watanzania wewe pambana na habari za kunya kwa mifuko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa mumeanza kulia mapema kabla hatujaanza ukulima. Naona wakulima wa nji jirani ya kipumbafu wakibaki maskini milele. Vyakula vyenu mtabaki nazo.The future of Agriculture in Kenya looks promising [emoji7][emoji7]
Unakuja na ID nyengine unaogopa nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ya zamani eeehhhh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Picha za ukweli hamzipendi kabisa, sasa mwenzako alipost hiyo picha akidhani atawatisha watu wewe leo unaikataa, unadhani mwenzio atajisikiaje, hilo apo nimekuwekea likiwa kwenye mwanga na sio gizani kama ulivyoliweka[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1898666View attachment 1898668View attachment 1898669
Poor engineering
 
Hawana mradi hata mmoja high quality, ma flyover yao yote ni kama yako U/C, ma flyover chini hayajafanyiwa pavement yoyote yanakaa kama jalala chini na cha ajabu zaidi katika kila flyover kule Kenya ujue chini kuna watu wanaishi, now wanasubiri nyumba yao mpya inayoitwa expressway [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe masomo haijakusaidia, hiyo document umeweka hapo ndio ujenzi?[emoji3][emoji23][emoji23]
Tanzania achana nayo itakuuwa kwa pressure [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe ndiye uliiuwa?[emoji23][emoji23][emoji23] Are you aware that next week lamu Port will recieving transhipment cargo from Dubai to Zanzibar Port[emoji23][emoji23][emoji23]
Will receiving au sio [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Watu wana paparika kama kuku jike anayetaga, tulisema humu ndani kwamba hili li nchi limejaaliwa tatizo ni huruma yetu ya kusaidia uhuru wa Afrika ilipelekea kuchelewa kdg huko nyuma, now tumeamua kuzipotezea nchi zinazoendekeza upumbavu so tunafanya yetu na ndiyo mnaona haya yote ya kujenga nchi ya ahadi yakiendelea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom