Leo anashauri serikali ikope pesa nyingi ijenge miundombinu ikiwemo barabara, kipindi cha nyuma alikuwa anasema serikali ya kijinga inajenga mabarabara wkt hali mtaani ngumu, watu wanakula hiyo midaraja, midege na mibarabara? Leo anakula matapishi yake mwenyewe mbwa huyu.
Lakini huyu mbwa ni chizi asiye na kipimo anakwambia uchumi kwa ss upo vzr baada ya kuingia SSH, yani uchumi umekuwa vzr na tuna uwezo miezi mitano tu baada ya kufa Magufuli wallahi huyu ni mnafki ambaye sijawahi kumshuhudia duniani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alafu kanajiita kamwanauchumi, vikisomaga vikozi vyao uchwara kule Open university vinakuja kusumbua watu na definition lkn ukiviambia viongee neno watu waelewe vinageuka vihayawani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]