Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

9f1db9a3b6513b1113c04bb6270ca0db.jpg


sent from iPhone 7
2017 here we are😀😀😀🙂🙂🙂
 
Sasa kwenye madaraja naona wakenya wamekaa. Only in Tanzania. Sasa tungeamua kuujenga Dar pekee yake si ingekuwa hatari sana!!?

namba%2B5.JPG
Annael Asante Sana,
Hata ivo naomba uwaongezee dozi.
Kirumi bridge-Mara River
Wami bridge-Wami River
Very soon Kigongo-Busisi bridge 2.1km long Mwanza Tanzania
Fela bridge-Along Usagara-Kisesa bypass


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeona picha au umefika hayo maeneo?? Maana kama haujafika basi ww ni mpuuzi tena mkubwa.. Kibera now days kuna project kubwa ya maghorofa kama yale ya UDSM.. tembea uone.. lzma tujifunze kwa wenzetu.. wakenya wako mbali kidogo kupita sisi hata uchumi wao uko stable....

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda umwambie huyo jamaa mm kenya naijua juu chini na nimeishi karibu mikoa yote ya kenya hio project ya kibera ni ya haina gani kwa dunia ya leo mbk ushupalie namna hiyo,shilika la makazi duniani limeshatangaza tz hashwa jiji la dsm linakua kwa kasi ya ajabu na wamethubutu kusema kwa muda wa miaka kumi au mitano badae dsm litaongoza east africa,sasa tuwahamini hao au tufuate maono yako na utashi wako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hukumwelewa vizuri.
ni hivi,
azam tv imechangia sana kuyumbisha soko la paytv nchini tanzania kwa dstv,startimes na zuku.

miaka ya nyuma kabla ya azam tv,dstv ilikuwa inaongoza kwa gharama kubwa za paytv nchini.

lakini ilipoingia azam tv mwaka 2013/2014,dstv ililazimika kushusha gharama za packages zake kwa kiasi kikubwa sana.

hata sasa bado dstv inalazimika kushusha gharama zake ili kwenda sambamba na ushindani inaopata kwa azam tv.

by the way,ni watz wachache ambao bado wanang'ang'ana na startimes au zuku tv siku hizi.
wengi wamehamia azam tv na wachache wamebaki dstv.

huo ndio ukweli...ukibisha tutakuletea uthibitisho.
Umesahau continental na ile ya Itv.
Zimeishiwa pumzi, Azam is overtaking dstv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😛😛
Concrete stadium😀😀😀
Ww hata ulazmishe vp tanzania stadium will remain the modern stadium in east and central africa....hata kocha wenu wa gor mahia alisema alihisi yuko europe😛😛
We wahache tu nani asie juwa kwamba wakenya ni watu washamba sana na ndio manawakiwaga bongo wananenepeana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom