Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

No one can take you serious in here now nkt with no shame placing fly overs and White House eti development of a country nkt! Hehe kama mtoto eti tumejenga the biggest White House how is that supposed to help you as a citizen ??? Badala you criticize the government for wasting resources you here cheering a big state house hehe think that's where we draw the line... so a big statehouse is ment to easen your tax burden or place bread on the table for the millions of Tanzanians nkt very myopic thinker
Huyo mbwa hakuna mtu anamchukulia serious hata watanzania wenzake, yeye na Venus Star gora moja. Hao ndo village idiots kwa hii thread.
 
Nilitaka unase kwenye mtego na umenasa.

Je hiyo definition inasadifu yaliyopo kenya?

Je wakenya wote wako na financial resources?


Je ni sehemu gani Tanzania kuna umasikini kama wa Turkana, mathare, kibera nk?

Kati ya Tanzania na kenya ni nchi gani ina unemployment rate kubwa?

Katika hiki kipindi cha kirusi, ni nchi ipi wananchi wake wengi wameangukia kwenye umasikini?....ni nchi ipi makampuni yamefungusha sana?

Ni nchi gani kati ya Tanzania na kenya inapokea misaada ya chakula karne hii?
Bro what do you mean umaskini turkana we unaongelea turkana ya kitambo kenya after devolution every county is developing turkana is now a tourist site turkana now has oil alot has changed for those guys so there change your narrative update yourself secondly when they say kenya has a high un employment rate doesnt mean the un employed guys just sit around.... there is alot of self employment works to do when the jobs available in a country do not meet the required standards so it doesnt necessary mean the un employed lack funds is just lack of official employment people can do farming at their lands they can do casual jobs, there is online jobs the space is indefinite and ukisema chakula chakula kenya haitoshivsi eti sababu ya umaskini la ni sababu a huge percentage of kenya ni inchi kavu so for us to March up the government has to do an extra mile like irrigation or something which I agree they haven't done so well in that point but it doesnt necessarily has to be linked to a low standard of living. Apart from those their are diffrent sectors very notable that kenya has advanced way far than tanzania that Is for a fact most of kenyan projects they look at the return of investment but most of tanzania projects are to enthuse the population
 
Bro what do you mean umaskini turkana we unaongelea turkana ya kitambo kenya after devolution every county is developing turkana is now a tourist site turkana now has oil alot has changed for those guys so there change your narrative update yourself secondly when they say kenya has a high un employment rate doesnt mean the un employed guys just sit around.... there is alot of self employment works to do when the jobs available in a country do not meet the required standards so it doesnt necessary mean the un employed lack funds is just lack of official employment people can do farming at their lands they can do casual jobs, there is online jobs the space is indefinite and ukisema chakula chakula kenya haitoshivsi eti sababu ya umaskini la ni sababu a huge percentage of kenya ni inchi kavu so for us to March up the government has to do an extra mile like irrigation or something which I agree they haven't done so well in that point but it doesnt necessarily has to be linked to a low standard of living. Apart from those their are diffrent sectors very notable that kenya has advanced way far than tanzania that Is for a fact most of kenyan projects they look at the return of investment but most of tanzania projects are to enthuse the population
Mradi upi taja hata mmoja ulioleta ROI in Kenya mention even one project mbuzi wee.
 
All this was cleaned up stop being stuck in the past move on bro
Si uoneshe picha ikionesha kwamba pako clean kwa ss [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bro what do you mean umaskini turkana we unaongelea turkana ya kitambo kenya after devolution every county is developing turkana is now a tourist site turkana now has oil alot has changed for those guys so there change your narrative update yourself secondly when they say kenya has a high un employment rate doesnt mean the un employed guys just sit around.... there is alot of self employment works to do when the jobs available in a country do not meet the required standards so it doesnt necessary mean the un employed lack funds is just lack of official employment people can do farming at their lands they can do casual jobs, there is online jobs the space is indefinite and ukisema chakula chakula kenya haitoshivsi eti sababu ya umaskini la ni sababu a huge percentage of kenya ni inchi kavu so for us to March up the government has to do an extra mile like irrigation or something which I agree they haven't done so well in that point but it doesnt necessarily has to be linked to a low standard of living. Apart from those their are diffrent sectors very notable that kenya has advanced way far than tanzania that Is for a fact most of kenyan projects they look at the return of investment but most of tanzania projects are to enthuse the population
Nenda Kajifunze kujenga hoja na kujibu maswali ndipo uje tuendelee pumbaf.

Propaganda uchwara baki nazo hapo failed state.
 
babayao255 the food insecurity issue in turkana will soon be a thing of the past because they stated some projects to do farming in the semi arid areas
And turkana is now number three in tourists site in kenya so it has started to grow it is a county to watch out for
20210803_144416.jpg



 
Nilitaka unase kwenye mtego na umenasa.

Je hiyo definition inasadifu yaliyopo kenya?

Je wakenya wote wako na financial resources?


Je ni sehemu gani Tanzania kuna umasikini kama wa Turkana, mathare, kibera nk?

Kati ya Tanzania na kenya ni nchi gani ina unemployment rate kubwa?

Katika hiki kipindi cha kirusi, ni nchi ipi wananchi wake wengi wameangukia kwenye umasikini?....ni nchi ipi makampuni yamefungusha sana?

Ni nchi gani kati ya Tanzania na kenya inapokea misaada ya chakula karne hii?
Hakuna hata moja aliyojibu hapa zaidi ya kuhara.
 
Mradi upi taja hata mmoja ulioleta ROI in Kenya mention even one project mbuzi wee.
Olkaria IV geothermal power plant
Lake Turkana Wind Power project
I have decided to give you two instead if one you asked for... and research how the above has helped in the manfacturing sector
 
Back
Top Bottom