Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mbona basi hamukemei SA ilihali wao wako na Khoisans bushmen, Alexandra, Hilbrow, Khayelitsha etc, ata mbaya zaidi shinda Kibra.. licha hio ndio nchi iliyo endelea zaidi..
Slums zao sio kubwa kihivyo kama kibera. Imagine more than 60% population ya Nairobi huishi kwenye hizi slums
 
Mchuano bado ni mkali sana 🙌🙌🙌🙌
92E7AFFD-3808-457C-B9E3-0D5698AE9DAC.png
 
Mkiambiwa ukweli mnasema ni hasira😂😂🤣, kama nadanganya ebu nionyeshe any render ya active tall building from Dar tuone 🤣🤣
Sasa hvi tuko bsy na infastructure tuko bzy na ujenzi wa dodoma tuko bzy na miradi ya umeme ambayo kwenu itabakia historia 😆
 
Heri kiwanja cha zamani superior kuliko kipya white elephant..
Eti superior kwa hali hii facilities chache na bado zote mbovu

 
Sasa hvi tuko bsy na infastructure tuko bzy na ujenzi wa dodoma tuko bzy na miradi ya umeme ambayo kwenu itabakia historia
Miradi tunayo focus sasa ni ya kuleta human development kama hospitals, transport networks including modern electric sgr, electricity, new capital development and strategic projects
 
Miradi tunayo focus sasa ni ya kuleta human development kama hospitals, transport networks including modern electric sgr, electricity, new capital development and strategic projects
Hawa hawawezi kujua maisha wamezoea ni kuchakarika kutafuta rent za land owners wao ila future life hawana 😆😆😆 ikiwa 50% wakenya wanategenea mikopo ya mpesa imagine
 
hivi mnajua human trafficking ni kawaida kenya hata kuuziana watu/watoto ni kawaida
'UTU kwao ni msamiati usiotambulika

Alafu inaonekana hata ubalozi wao sijui unahusika maanake hauwapi msaada wowote uko saudia, kazi yao moja tuu kuuza watu kama siso uko saudia
 
Washaanza kulia hata kabla mchina hajaweka toll zake pale 😆😆😆😆 nilisema hapa nikaonekana sina akili👇👇👇👇

 
Back
Top Bottom