Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

13 remaining! U only showed 7 air bridges!
Tunasonga pole pole, number 13.

IMG_20210730_164000.jpg
 
Kipofu., yaani just a section of Mombasa hapa.., hakuna Mwembe going towards Changamwe which is even denser., kupata aerial view mombasa sio rahisi due to security restrictions.., hii hapa size ya Dar, wewe kalilie kwa choo..,
View attachment 1873725

Naweza kuhesabu all these buildings moja baada ya nyingine, hakuna kitu hapa ni photography tu., zaidi ya hapa hakuna kitu Dar, ni angles mtachezea around the three towers.., ziko hapo kando ya hii picha..,
View attachment 1873726
Ww peleka ukichaa wako kariobangi...hata aibu huoni..next aje aliye timia na kuniletea picha kama hii apo kunya nzima
2407658_tapatalk_1588389991510.jpg
 
Mmmh Ila bongo noma, ni ndege mpya ya tisa, yo kunyans msijisaulishe tz tulianza kununua hiz ndege 2017 ambapo mpaka sasa ni miaka minne tu na tumeshanunua ndege 11 tayari ndege mbili zitamfikia any time soon, tukichanganya na zile ndege zetu mbili za zamani tunakua na jumla ya ndege 13, pia tumeshakamilisha manunuzi ya ndege ya mizigo ikitua tunakua na ndege 14 .. mtaweza kweli.? Kushindana nasi.?
 
nimemsikia MD anasema South kuna matatizo ya kisheria.. nairobi waziri kaiongelea pamoja na kule DRC lumbumbashi

ila soko la ndan limeeleweka tayar, nyingine mbili mpya za airbus zilizoorderiwa zitatuwezesha kufanya soko la kikanda kukaa mahali pake.. mdogo mdogo tu
Matatizo si yale yale kama ya awali..ya yule mkulima..hata hii naskia ili chelewa kulikuwa na issue canada ndo waka clear..
 
Back
Top Bottom