Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yaani hakuna sehemu unaweza kulinganisha na Parklands hata kidogo.., nothing to compare.., inafanana Eastlands Nairobi.., πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nilikwambia ilala ina density kubwa kuliko upperhill
960D63AF-3B90-43F9-84C0-F0970B8FCF57.jpeg
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hii ume circle ni Ngara eti? hiyo ni sehemu ya old CBD, next to Waiyaki Way, mbali sana na Ngara.., idiot, hauniwezi wewe, Dar ni ushago, kazi kwisha..,
View attachment 1873783
Ngara ndani
Parkland ndani
Wetslnad ndani
Upperhill ndani
CBD ndani

Au mm nadanganya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
38542398-FF3E-4916-9239-D927EE9A0557.jpeg
 
Ushapanic tayar πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wakat hio masaki alone kubwa sawa na mombasa nzima
Ukweli haufichiki nikama kikohozi tu.., ama nadanganya kaka.., hii hapa kijiji cha wavuvi.., ndani kwa ndani..,
1627630947557.png
 
vitu vimelipwa nn!
mwenye anaejua ile iliyoenda china ilikuwa na jina gan pale mbele? na je imeonekena ikifanya kazi bongo.. maana sijasikia imerud.. kuna mawili.. imerud kimya kimya au imedakwa huko.. kuondoa huu utata naomba kujua jina la hilo ndege na siku ilipoenekana huku bongo
Hahaha!!abiria mkuu
 
As niko sure na ninachoongea taja jina la Bwawa na location hapo Kunyaland nikutajie mlichukua mkopo wapi! Kwa vile niko suree 100% all ur dams were financed through credits!
Km uko 100% si ulete basi[emoji1787][emoji1787]
Mbona unazunguka zunguka hapa, lete mona kw yale yaliokamilika basi tuone
 
Back
Top Bottom