Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I have nothing to say about shacks around JNIA, hiyo picha ya dumpsite umeleta mwenyewe😂😂😂
Mwenzako amebaki kukata uno sasa ww mpigie mziki acheze vzr 😀😀😀
 
Geza Ulole ulivyomfanyia mwenzako sio poa, amebaki wazi. Vip section kama godown🤣🤣👇
2862906_CADB9FB6-6D13-46E0-8F5D-9EB3BDFD2359.jpeg
 
Mtu anapost huu ushuzi alaf wanapaka ma powder 😆😆😆 make up na filter kila aina lakini wapi bana 👇👇👇👇👇👇
7FE685B3-736C-41C7-ACA4-266A1FDEDCD6.jpeg
82AA4E69-4236-45C0-A172-6BED56B0C11B.jpeg
 
Anyway hakuna haja nibishane na wewe. Najua kwa akili yako mbovu unafikiria hiyo ni 6.96B ni loss😂😂😂
Kushuka kwa faida ni tatizo kama ulikua unauwezo wakupata 20b alaf kila mwaka unashuka ujue kunatatizo mahala 😆😆😆
 
Yani hata ulie vp bado hutoki na maana hujabadilisha 😆😆😆 hapa leo hutoki budaaa tena ndio kwanza unaongeza buildings 😂😂😂😂
Neno drop ujue nitatizo 😂😂😂 hata ukitapa tapa huku na kule lakini sindano lazma iingie
 
Kushuka kwa faida ni tatizo kama ulikua unauwezo wakupata 20b alaf kila mwaka unashuka ujue kunatatizo mahala 😆😆😆
That profit is bigger profits of top ten companies in Tanzania combined.
 
Back
Top Bottom